Bilal/Pinda wagombea urais wakihamasisha na kushiriki unywaji pombe - watatutumbukiza shimoni!

Candid Scope

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
11,890
6,896
14.jpg


3.jpg
1.jpg


4.jpg


2+%25282%2529.jpg

IMG_8531.JPG

Tufikirie hawa viongozi waandamizi katika serikali ya sasa nini wamefanya kwa taifa hili, matukio yaliyojitokeza hakuna cha ziada ila kuhamasisha ulevi kama huu Mkamu wa Rais Bilari na Waziri Mkuu pinda si kuhamasisha tu bali kushiriki unywaji badala ya kuhamasisha watu kufanya shughuli za maendeleo.

Upinzani wanapowanyoshea kidole ili kuwarudi wajisahihishe wanahasisha vyombo vya ulinzi na usalama wa raia wapigwe tu huku wakinywa pombe hivi. Hawa watalifikisha wapi taifa wakipewa dhamani ya kuendelea kuongoza nchi hii?
 
Badilisha uandike Bilal mkuu........Ili twende sawa.........
 
Mapaparazi nanyiiiii. Ulimkuta wapi mzee Bilali akinywa pombe? Si mwislamu swafi yule?? FaizaFoxy tusaidie hapa jamani. Kuomba sijui saini tu unaamua kuudhalilisha uislam?
Kweli, ukistaajab ya Musa, utakutana na ya Bilali hapa Tz. Tutakomaaa. Wakiwa maraisi hawa, nadhani kitu ya kwanza ni kuiweka hiyo pombe pale Magogoni ili wakiamka asubuhi wajichane kutoa lock. Ndo maana Pinda akaruhusu sukari ijipandiye kiholela bei yake, ili tushindwe kunywa chai
 
Mapaparazi nanyiiiii. Ulimkuta wapi mzee Bilali akinywa pombe? Si mwislamu swafi yule?? FaizaFoxy tusaidie hapa jamani. Kuomba sijui saini tu unaamua kuudhalilisha uislam?
Kweli, ukistaajab ya Musa, utakutana na ya Bilali hapa Tz. Tutakomaaa. Wakiwa maraisi hawa, nadhani kitu ya kwanza ni kuiweka hiyo pombe pale Magogoni ili wakiamka asubuhi wajichane kutoa lock. Ndo maana Pinda akaruhusu sukari ijipandiye kiholela bei yake, ili tushindwe kunywa chai

3.jpg

Pichani Bilari kashika mrija wa kufyonzea pombe

Jambo la msingi mazingira hata kama hakunywa lakini yanaashiria kushiriki tukio lile alishiriki. Alikuwa na nafasi kutojiruhusu kushiriki tukio kama lile maana viongozi wakuu kitaifa huwa wameshaandaliwa na kuelekezwa tuko watakalohuduria. Nikishiriki kijiwe cha vibaka na kisha baada ya kijiwe kile vibaka wakaenda kubaka itatafsirika kirahisi nilishiriki maandalizi ya tukio la kubaka.

Ninachokisoma wazi hapa kuna kukosekana busara na hekima, hiki ni kizazi cha dot com jambo hilo waliona dogo na likaweza kuwaumbua mbeleni. Badala ya kuhamasisha maendelea wanahamasisha kwa ushiriki ulevi wa unywaji pombe za kienyeji katika mazingira yasio safi kiafya.
 
3.jpg

Pichani Bilari kashika mrija wa kufyonzea pombe

Jambo la msingi mazingira hata kama hakunywa lakini yanaashiria kushiriki tukio lile alishiriki. Alikuwa na nafasi kutojiruhusu kushiriki tukio kama lile maana viongozi wakuu kitaifa huwa wameshaandaliwa na kuelekezwa tuko watakalohuduria. Nikishiriki kijiwe cha vibaka na kisha baada ya kijiwe kile vibaka wakaenda kubaka itatafsirika kirahisi nilishiriki maandalizi ya tukio la kubaka.

Ninachokisoma wazi hapa kuna kukosekana busara na hekima, hiki ni kizazi cha dot com jambo hilo waliona dogo na likaweza kuwaumbua mbeleni. Badala ya kuhamasisha maendelea wanahamasisha kwa ushiriki ulevi wa unywaji pombe za kienyeji katika mazingira yasio safi kiafya.

Mkuu,
Hapo nakuunga mkono kabisa. Hiyo hekima iliyotumika hapo ndo najiuliza, ilitoka wapi?? Mzee wetu huyu kwenda kujidhalilisha hivi. Angalia alivyoushika huo mrija, ka vile amelizoea, halafu mnasema ati Rombo wanaume wameshindwa kuongeza taifa. Huyo Pinda alivyovuta kiasi hicho Tunu alimpata kweli! Nashindwa kuamini yanayotendwa na viongozi hawa. Hii pekee yatosha kujiondoa kwenye mbio za urais. CC mmesharahisishiwa kazi
 
3.jpg

Pichani Bilari kashika mrija wa kufyonzea pombe

Jambo la msingi mazingira hata kama hakunywa lakini yanaashiria kushiriki tukio lile alishiriki. Alikuwa na nafasi kutojiruhusu kushiriki tukio kama lile maana viongozi wakuu kitaifa huwa wameshaandaliwa na kuelekezwa tuko watakalohuduria. Nikishiriki kijiwe cha vibaka na kisha baada ya kijiwe kile vibaka wakaenda kubaka itatafsirika kirahisi nilishiriki maandalizi ya tukio la kubaka.

Ninachokisoma wazi hapa kuna kukosekana busara na hekima, hiki ni kizazi cha dot com jambo hilo waliona dogo na likaweza kuwaumbua mbeleni. Badala ya kuhamasisha maendelea wanahamasisha kwa ushiriki ulevi wa unywaji pombe za kienyeji katika mazingira yasio safi kiafya.
kama hii ni picha ya bilali basi hata nguruwe hawajapona!!!!!!!!!!!!
Mimi naona anachekelea pombe???
 
View attachment 260199
14.jpg


3.jpg
1.jpg


4.jpg


2+%25282%2529.jpg

IMG_8531.JPG

Tufikirie hawa viongozi waandamizi katika serikali ya sasa nini wamefanya kwa taifa hili, matukio yaliyojitokeza hakuna cha ziada ila kuhamasisha ulevi kama huu Mkamu wa Rais Bilari na Waziri Mkuu pinda si kuhamasisha tu bali kushiriki unywaji badala ya kuhamasisha watu kufanya shughuli za maendeleo.

Upinzani wanapowanyoshea kidole ili kuwarudi wajisahihishe wanahasisha vyombo vya ulinzi na usalama wa raia wapigwe tu huku wakinywa pombe hivi. Hawa watalifikisha wapi taifa wakipewa dhamani ya kuendelea kuongoza nchi hii?
 
No bilal hanywi, na hata hapo hakuna picha inayoonyesha anakunywa, i know dr bilal
 
No bilal hanywi, na hata hapo hakuna picha inayoonyesha anakunywa, i know dr bilal

3.jpg


Utetezi wako haujakaa vizuri, soma mazingira ya picha hiyo, labla ungejaribu kumsafisha kwa namna nyingine kuliko unavyoongea kijumlajumla tu huku amekumbatia chungu cha pombe.
 
Mkuu kwa kipindi hiki hata teja ana thamani zaidi ya tanzanite na bado utayaona mengi tu
It's true.

Hapo watakuwa wameenda kutafuta signatures za walevi wa 'mataputapu' kwa ajili ya udhamini kwenye fomu zao za kugombea Urais.

Si unajua hao wote wawili wamechukuwa fomu za kutaka.kugombea Urais, kwa tiketi ya chama chao cha CCM?

Lengo likiwa ni kutupiga changa la macho waTz tuwaone kuwa wao ni watu wa watu ndani ya makundi yote ya kijamii.
 
The prudish holier than thou attitude has no place in a pragmatic world.

Pombe hoii ni sehemu ya utamaduni wa Watanzania, hawa ni viongozi wa Tanzania, mlitaka wa connect vipi na wananchi wao?

Ubaya wa pombe in the context of social drinking ni upi?
 
Maradhi kama TB huambukizwa kwa njia hii
na hao ni viongozi wetu wanatuonyesha njia

Uongozi ni gunia la chawa, wasingeshiriki hapo wangelaumiwa kwa kuwa mbali na wananchi wao.

Kuhusu magonjwa, pombe zote zinahusishwa na magonjwa, sasa kwa nini tuziseme hizi na zile za hoteli za kitalii tuziache?
 
Uongozi ni gunia la chawa, wasingeshiriki hapo wangelaumiwa kwa kuwa mbali na wananchi wao.

Kuhusu magonjwa, pombe zote zinahusishwa na magonjwa, sasa kwa nini tuziseme hizi na zile za hoteli za kitalii tuziache?

Namaanisha ni rahisi zaidi kwa mnywaji mwenzako kucheua, kubanja au kupitisha makohozi kwa bahati mbaya ama makusudi kupitia huo mrija kuliko hizo za hotel za kitalii
 
Weka ya loliondo wamepangana kunywa kikombe
14.jpg


3.jpg
1.jpg


4.jpg


2+%25282%2529.jpg

img_8531.jpg

tufikirie hawa viongozi waandamizi katika serikali ya sasa nini wamefanya kwa taifa hili, matukio yaliyojitokeza hakuna cha ziada ila kuhamasisha ulevi kama huu mkamu wa rais bilari na waziri mkuu pinda si kuhamasisha tu bali kushiriki unywaji badala ya kuhamasisha watu kufanya shughuli za maendeleo.

Upinzani wanapowanyoshea kidole ili kuwarudi wajisahihishe wanahasisha vyombo vya ulinzi na usalama wa raia wapigwe tu huku wakinywa pombe hivi. Hawa watalifikisha wapi taifa wakipewa dhamani ya kuendelea kuongoza nchi hii?
 
Back
Top Bottom