Magwangala
JF-Expert Member
- Oct 4, 2011
- 2,986
- 2,373
Haijawahi kutokea kwenye CAFCC na si mashindano ya CAF maana Simba kacheza fainali CAF Cup na si CAFCC na hii wameweka kwenye website yao rasmi ila wewe hujui jinsi ya kuungia na simu yako ya TecknoNdo matatizo ya kusoma kayumba ....ungesoma international kama mm usingepatashida neno first ever ( Kwa mara ya kwanza ....au huko nyuma Haijawahi tokea)
Bado hujachelewa....njoo Kwa RAS SIMBA mbeya tujifunze ngeli[emoji3][emoji3]
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Wewe ni mtoto mdogo,tuulize wazazi wako, zamani kulikuwa na mashindano matatu yanayoendeshwa na na CAF, Klabu Bingwa,CAF Cup na Kombe la Washindi Barani Afrika.CAF Cup na Washindi yaliunganishwa ndio yakaunda CAFCC
Hizo ni kauli za kujifariji tu.Ahsante Yanga kwa kuonyesha mwanga wa Taifaaa ...[emoji23][emoji23]
Pamoja na kuwa mchambuzi maarufu hapa jamii forum pia mwanachama wa Simba ....ila nakubali kuwa Yanga walituchongea njia ya kwenda final......hivyo tumejifunza mengi Kwa Yanga mfano
1. Kukaza ugenini....Simba always ilikuwa mbovu ugenini....lakini Baada ya Yanga ku prove inawezekana kukaza ugenini.... it's became a foundation to Simba to gain confidence
All in all..... Asanteni Yanga Kwa kuchonga njia...japo tunajua kombe hatubebi mbele ya waarabu[emoji23]...tutaishia mlipoishiaView attachment 3318438
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Ni sawa. 1993 kipindi Simba anacheza fainali. Yanga ilikuwa wapi?Watoto wa 2000 hamjui kuwa Simba ni timu ya kwanza Tanzania kucheza fainali mashindano ya CAF.Hawa hapa CAF wenyewe kwenye website yao rasmi wanawaumbua
Kesho nitaleta makala ya abiola cup...stay tuned forSimba hold firm to seal TotalEnergies CAF Confederation Cup final spot Soma hii link habari yote kwenye website rasmi ya CAF utakuta habari za Simba kucheza fainali kombe la CAF na sio Abiola mliyodanganywa na akina Manara
Soma hapoHaijawahi kutokea kwenye CAFCC na si mashindano ya CAF maana Simba kacheza fainali CAF Cup na si CAFCC na hii wameweka kwenye website yao rasmi ila wewe hujui jinsi ya kuungia na simu yako ya Teckno
Na bonanza la abiola cup huifahamuWewe ni mtoto mdogo,tuulize wazazi wako, zamani kulikuwa na mashindano matatu yanayoendeshwa na na CAF, Klabu Bingwa,CAF Cup na Kombe la Washindi Barani Afrika.CAF Cup na Washindi yaliunganishwa ndio yakaunda CAFCC
Una maanisha nn mkuuTatizo la kuandika mwiko umening'inia nyuma
Kuhusu shirikisho kuitwa kombe la wamama ...ni yule kiongozi wenu alilopoka[emoji3][emoji3]Hizo ni kauli za kujifariji tu.
Sasa hivi mnasema kombe la wanawake, tena mnalizungumzia na kumbuka mlitengenezea na documenyary
- Simba imecheza mwaka 1993 kipindi inaitwa CAF Cup. Yanga alikuwa wapi?
- Simba amecheza Shirikisho na kuishia robo mara nyingi zaidi kuliko Yanga
- Simba amecheza Champion League na kufika robo mara nyingi kuliko Yanga
- Simba imecheza AFL (Africa Footbal League) a.k.a Super Cup ambapo Yanga hajacheza hata mechi moja
- Kwenye mechi za kimataifa za CAF, Simba amemzidi Yanga mbali sana kiubora.
simba imewafundisha yanga kufika hatua yamakundi klabu bingwa lakini yanga wameshindwa kwenda robo fainaliAhsante Yanga kwa kuonyesha mwanga wa Taifaaa ...[emoji23][emoji23]
Pamoja na kuwa mchambuzi maarufu hapa jamii forum pia mwanachama wa Simba ....ila nakubali kuwa Yanga walituchongea njia ya kwenda final......hivyo tumejifunza mengi Kwa Yanga mfano
1. Kukaza ugenini....Simba always ilikuwa mbovu ugenini....lakini Baada ya Yanga ku prove inawezekana kukaza ugenini.... it's became a foundation to Simba to gain confidence
All in all..... Asanteni Yanga Kwa kuchonga njia...japo tunajua kombe hatubebi mbele ya waarabu[emoji23]...tutaishia mlipoishiaView attachment 3318438
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Leta na mspinduzi cupHiyo ilikuwa ni bonanza la abiola cup....ngoja nitaleta chapiso lake soon
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Simba hold firm to seal TotalEnergies CAF Confederation Cup final spot Nimekuwekea link kutoka website rasmi ya CAF, wewe nawe leta taarifa kuhusu Abiola Cup kutoka website rasmi ya CAF,sio kutoka kwa akina Mwalimu Yanga na Manara unakotoa taarifa
Hiki Kiingereza kimekushinda kuelewa,TotalEnergies CAFCC ndio first ever but Simba kacheza fainali ya kombe la CAF kabla na si CAFCC
Robo final Yanga kafika .... kacheza na mamelod....itakua mpira unasikilizaga redionisimba imewafundisha yanga kufika hatua yamakundi klabu bingwa lakini yanga wameshindwa kwenda robo fainali
Kwa upande wa mapinduzi cup .,.Simba inaongoza kubeba kombe HiloLeta na mspinduzi cup
Robo final Yanga kafika .... kacheza na mamelod....itakua mpira unasikilizaga redioni
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile ap
Kesho nitaleta mkuu.......stay tuned... keep following my postsSimba hold firm to seal TotalEnergies CAF Confederation Cup final spot Nimekuwekea link kutoka website rasmi ya CAF, wewe nawe leta taarifa kuhusu Abiola Cup kutoka website rasmi ya CAF,sio kutoka kwa akina Mwalimu Yanga na Manara unakotoa taarifa