rodrguez
Senior Member
- Apr 16, 2018
- 121
- 77
Ushaambiwa mke hata ukiwa mbal uvumlvu unahtajka. Tabia ya mtu n kama ngoz huwez ibadl hata kama angekuwa karb bdo haya yangetokea.fimbo ya mbali haiui nyoka,
Ushaambiwa mke hata ukiwa mbal uvumlvu unahtajka. Tabia ya mtu n kama ngoz huwez ibadl hata kama angekuwa karb bdo haya yangetokea.fimbo ya mbali haiui nyoka,
Daadeki kumbe bado alikuwa anaishi kwao ndiyo maana akawa mama yake anamuongoza badoPole sana mkuu, na hongera kwa ujasiri huo,
Rafiki angu ashawahi nifata niomba ushauri kama huu kaacha mke kijiji wana watoto wa3 watu wakatia mimba nkamwambia amwache tuu aoe mwingine akabisha kaondoka kwa lengo la kwenda kumdhuru jiran mtia mimba na mke wake,
Kafika anataka kuliazisha mama yake akamweka kikao na kumwambia "kama umetoka ndani ya tumbo langu usijaribu kumfanya chochote mke wako wala aliempa mimba ulitegemea ataishije miaka 2 yote kwani ni roboti? Na hakuna kumfukuza kama humtaki ondoka wewe hapa nyumbani"
Ikabidi awe mpole tuu, sasa hivi mke wake ana mimba ya huyo rafiki yangu maisha yanayoendelea.
Tunatakiwa kuishi na wake zetu kwa akili sana ,mwanamke atabaki kuwa kiumbe dhaifu kuwahi kutokea duniani.Mwanamke ni mzuri na mtamu kabla ya ndoa, baada ya ndoa na kuzaa, hapo ndipo makeke, na tabia nzuri au mbaya ya mwanamke zinapojitokeza, ukiwa na bahati, umepata ila kama ndio kama wengine wengi, lazima ile kwako tu, tujihadhari wanaume...
ili iweje vibao havi reverse yaliyotokea, hiyo aliyopewa ni adhabu tosha tena kubwa kulikoUngemtandika vibao viwili vitatu
na hilo kosa litasimama mbele yake siku zoteili iweje vibao havi reverse yaliyotokea, hiyo aliyopewa ni adhabu tosha tena kubwa kuliko