Bila ya kibali marufuku "Live coverage" Ikulu

Status
Not open for further replies.
hii ikulu yetu mataifa ya kigeni yanaijua vizur kulko yanavozijua nyeti zao wenyewe!!

mfano CIA alipokuja obama watakua walipekenyua mpk vitanda vya mkwere

Tuache utani tunahitaji kujenga ikulu mpya hii ya mkoloni haifai tena, fikiria imejengwa na mjerumani sijui ni ya miti na fitto ikakandikwa udongo manake wakati ule walitoa wapi saruji! haina hata lift ya kupanda ghorofani, Uganda na Kenya wameshajenga ikulu mpya tumebaki sisi tu.

Haya ndo yaliyosababisha wafaransa wakamkamata gagbo akiwa amelala kitandani kwani walijua chocho zote za ikulu na wao ndo walioijenga. mwinyi aliikuta haina hata uzio akijitahidi akaweka japo uzio, mkapa akakuta paa linavuja akaweka supaglue kikwete kaweka angalau ukumbi wa mikutano, mwishowe itakuja poromoka kwa ukarabati usioisha.
 

Google earth ipo. Endelea ku google tu
 
Hivi ile email ni GOOGLEMAIL.COM? Anwani ya IKULU?
taasisi nyingine za elimu ya juu zimebadili domain name zao za asili kwenda googlemail...nadhani walikuwana fuata muongozo.
 
Sijaelewa hiyo taarifa.live coverage ya wapi? Au mimi ndio sielewi??? Incomplete and an ambiguous statement to say the least

Live coverage ya mambo yoyoye yanayofanyika Ikulu. Ilizoeleka waandishi kuibukia Ikulu na kamera zao bila utatatibu. Ikulu siyo baa ambapo yeyote anaweza kuingia na kutoka bila utaratibu. Waandishi hawajazuiliwa kufanya live coverage, jambo la msingi ni kuomba kibali na kukubaliwa.
 
Hivi Rweyependeza bado yupo kweli?
 
Hivi Rweyependeza bado yupo kweli?au wamemteua yule mkulungenzi wa gazeti la JAMUHURI
 
Taratiiibu mtaanza kumkumbuka mkwere!!@
 
Wanapiga marufuku live coverage bila kibali ila bado email wanatumia za gmail...... haya bana
 


Sasa shabiki na juha ni nani, mimi au wale walioacha ITV waingie kila chumba kufanya live coverage live?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…