Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
- Thread starter
- #21
haya mi nimesoma tu ila sijatoka bure si wanasema mwenda nini si sawa na mkaa bure eh,ntapita tena baadaye, ila pole mkuu kwa yaliyo kukuta maisha ni safari, kwa hiyo sa hivi unauliza kwanza kama mchina au natural kabla ya kazi?
Mamzalendo ni ngumu kupata jibu la swali hilo, la msingi nikuingia na ku test, kama ni ile ya kutengenezwa natema mzigo na kuchapa lapa