Unaezakuta wewe mwenye bikra huna gademitiHuku Pwani kuna bikra nyingi sana yaani kila ukienda kila nyumba kuna uwezekano wa kukuta na wasichana bikra kila kona yaani wazazi wa pwani wanajitahidi sana kulea watoto wao na ni furaha kubwa sana kwao mtoto kuolewa kuwa bikra aiseee
Na ni ngumu sana kukuta mabikra katika mikoa ya bara yaani watu wa bara wanaona sifa watoto wao kutolewa ubikra mapema sana tofauti na mikoa ta Pwani
Vp MkuuBikra ipi una ongelea wewe mtoa mada ?
Mpaka sasa umetoa bikra ngapi?
Poa boss upoVp Mkuu
GoodPoa boss upo
Good
Si naskiaga ni baada ya kujilipua ndio wanapewa hawa mabikra [emoji23]Hamna shida nasikia kuna mabikra 72 wanatungojea peponi!
Ahahha karibu mchemsho wa ndizi mkuuGood
Lete Misosi
Chunguza vizuri honi zao hazipigi vizuri (Uwan)Huku Pwani kuna bikra nyingi sana yaani kila ukienda kila nyumba kuna uwezekano wa kukuta na wasichana bikra kila kona yaani wazazi wa pwani wanajitahidi sana kulea watoto wao na ni furaha kubwa sana kwao mtoto kuolewa kuwa bikra aiseee
Na ni ngumu sana kukuta mabikra katika mikoa ya bara yaani watu wa bara wanaona sifa watoto wao kutolewa ubikra mapema sana tofauti na mikoa ta Pwani
Kwamba Bara ndiyo hamna umasikini?Simu yangu mwenyewe usinipangie cha kupost. Watoeni watoto wenu kwenye umasikini, bikra inatolewa siku moja tu njaa inabaki palepale
Kwamba Bara ndiyo hamna umasikini?
Sasa na useme pwani,hivyo vijitu vipakuwepo kwenye umri gani?Huku Pwani kuna bikra nyingi sana yaani kila ukienda kila nyumba kuna uwezekano wa kukuta na wasichana bikra kila kona yaani wazazi wa pwani wanajitahidi sana kulea watoto wao na ni furaha kubwa sana kwao mtoto kuolewa kuwa bikra aiseee
Na ni ngumu sana kukuta mabikra katika mikoa ya bara yaani watu wa bara wanaona sifa watoto wao kutolewa ubikra mapema sana tofauti na mikoa ta Pwani
Pwani ni wapi huko labda tuanzie hapo.Huku Pwani kuna bikra nyingi sana yaani kila ukienda kila nyumba kuna uwezekano wa kukuta na wasichana bikra kila kona yaani wazazi wa pwani wanajitahidi sana kulea watoto wao na ni furaha kubwa sana kwao mtoto kuolewa kuwa bikra aiseee
Na ni ngumu sana kukuta mabikra katika mikoa ya bara yaani watu wa bara wanaona sifa watoto wao kutolewa ubikra mapema sana tofauti na mikoa ta Pwani