shida ipo wapi?Dah naniliu ya barmaid aisee ni changa la macho....
Hakunaga kitu kama hiyo......
kekundu kekundu, hizi bikira zimeshawazingua sana hivi mbona bikira ni kitu cha kawaida sana.
Inawezekana kweli wakuu? Nipo na Jamaa yangu kwenye country code +254! kahudumiwa na barmaid mrembo Jamaa akampenda akaomba mchezo! Barmaid akamuambia Jamaa yeye bikra! Dah! Jamaa kapiga mashine anadai kabikiri kweli! Inawezekana kweli hii? Maana jamaa sasa hivi anasema condom za nini wakati amebikiri?
Inawezekana kweli wakuu? Nipo na Jamaa yangu kwenye country code +254! kahudumiwa na barmaid mrembo Jamaa akampenda akaomba mchezo! Barmaid akamuambia Jamaa yeye bikra! Dah! Jamaa kapiga mashine anadai kabikiri kweli! Inawezekana kweli hii? Maana jamaa sasa hivi anasema condom za nini wakati amebikiri?
Mimi naomba kuelimishwa tu bikira ni nini? na inaongeza nini kwenye ngono? maana hizi hadithi za bikira nimeanza kuzisikia muda mrefu na mpaka mwingine akathubutu kuniambia eti Mwanamke ukimtowa bikira hakuachi milele!!
Makubwa haya, labda si Wanawake hawa ninaowajuwa mimi, sasa hivi ni Wallet ndio naweza kuthubutu kusema kwamba Mwanamke hawezi kukuacha lakini sio huu ujinga wa bikira.
CC: Kongosho lara 1