Biharamulo inamsubilia kwa hamu Dkt Emanueli John Nchimbi

Biharamulo inamsubilia kwa hamu Dkt Emanueli John Nchimbi

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
12,015
Reaction score
28,387
JUKWAA MOJA LENYE NGUVU YA MVUMO WA MAENDELEO YA KIMKAKATI – BIHARAMULO 2025-2030

Wananchi wa Biharamulo na Mkoa mzima wa Kagera,
Usikose kushuhudia tukio kubwa la kihistoria:

Balozi Dkt. Emanueli John Nchimbi
Mgombea Mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Eng. Ezra John Chiwelesa
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Biharamulo Magharibi

Wote wawili watasimama jukwaa moja kuwasilisha dira ya maendeleo ya kimkakati kwa miaka 2025–2030, dira itakayobadilisha Biharamulo na kuleta mafanikio ya kweli kwa wananchi.

Tarehe: 6 Septemba 2025
Uwanja wa Mpira wa CCM – Biharamulo

Usipange kukosa jambo hili kubwa!
Kwa pamoja tunajenga msingi wa maendeleo endelevu ya Jimbo letu na Taifa kwa ujumla.

TUNA ANZIA TULIPO ISHIA

USSR
BlendMePhoto1756809157264.jpg
 
JUKWAA MOJA LENYE NGUVU YA MVUMO WA MAENDELEO YA KIMKAKATI – BIHARAMULO 2025-2030

Wananchi wa Biharamulo na Mkoa mzima wa Kagera,
Usikose kushuhudia tukio kubwa la kihistoria:

Balozi Dkt. Emanueli John Nchimbi
Mgombea Mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Eng. Ezra John Chiwelesa
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Biharamulo Magharibi

Wote wawili watasimama jukwaa moja kuwasilisha dira ya maendeleo ya kimkakati kwa miaka 2025–2030, dira itakayobadilisha Biharamulo na kuleta mafanikio ya kweli kwa wananchi.

Tarehe: 6 Septemba 2025
Uwanja wa Mpira wa CCM – Biharamulo

Usipange kukosa jambo hili kubwa!
Kwa pamoja tunajenga msingi wa maendeleo endelevu ya Jimbo letu na Taifa kwa ujumla.

TUNA ANZIA TULIPO ISHIA

USSR
View attachment 3462444

Ndiko hizi coaster lukuki "Bunge Sports Club" zinakoelekea na wajaza uwanja?
 
Back
Top Bottom