Bigger than Adele herself

Bigger than Adele herself

Anazo mbili halafu,
Ya kwanza inaitwa Testimony ya mwaka 2014 na Ya pili inaitwa This Thing Called Life ya mwaka 2015.
Ngoja nikiwa kwenye network nzuri naweza iweka.

Ila kama unaweza tafuta program ya U torrent, download kwenye PC yako au simu kama ina support.
Then nenda kwenye mtandao unaitwa Kat.ph, au ratorrent au the pirates bay. Search humo ndani utazikuta hizo Album zote halafu unazishusha tu.
we kaka naomba utoe avatar yako..Kila nkikutana nayo usiku inanipa maluweluwe🙁🙁🙁
 
Samahani nawatoa nje ya mada kidogo but mkisoma endeleeni;

Kuna wakati flani mwaka mmoja kabla cjawa member wa jf, nilikuwa nasoma post na comments tu sikuweza kufanya lolote maana sikuwa member.

Jamaangu yeye alkuwa member, ila ktk post zake nilikuwa nashangaa mbona aki_post hakuna comments zaidi ila ni ya mtu mmoja tu?

Alichonijibu ndo nakumbuka hii yenu, means ana_post then baada ya 30mins asipoona comment yoyote kumbe ana sign avatar ingine na kuji_comment mwenyewe
 
Samahani nawatoa nje ya mada kidogo but mkisoma endeleeni;

Kuna wakati flani mwaka mmoja kabla cjawa member wa jf, nilikuwa nasoma post na comments tu sikuweza kufanya lolote maana sikuwa member.

Jamaangu yeye alkuwa member, ila ktk post zake nilikuwa nashangaa mbona aki_post hakuna comments zaidi ila ni ya mtu mmoja tu?

Alichonijibu ndo nakumbuka hii yenu, means ana_post then baada ya 30mins asipoona comment yoyote kumbe ana sign avatar ingine na kuji_comment mwenyewe

Haaahaa,
Man i'm real.
Sitafuti umaarufu hapa aisee, sema nimekutana na mtu ambaye hulka zimeshabihiana that's all.
Nijijibu mim
 
Huyu jamaa kamfunika hadi Adele mwenyew, naomba hilo nikiri kabisa.
Hii hatari sasa, khaaaa.
Hangaiki kuimba kabisaa. Akikaa vizuri kimuziki huyu Jamaa ni level za Kina Mozart, Nina Simone na Whitney Houston.


Hapa Sam Smith kahangaishwa naye.






Hapa Leonard Cohen kapotezwa.


Mungu humpa kila mtu Chupa yake ya Mafuta.
Naamini watu kama hawa hata Bongo wapo sema ndiyo vile tunapenda mamidundo tu, mziki mingine tunaona ni Ukoloni.
It's okay kuimba Utamaduni ila ikumbukwe kwamba Good Music HAS NO RACE.

CC: MGuccI , Nando , toxic9 , Makendaa , Paulo Sergio De Souz , UncleBen , Kaboom , Upiversity , kui , Masunga Maziku , Dotworld

very wounderful work mkuu wow,ila sam smith ni mzuri sana lakini huyu underground aisehh he has beautiful music talent kweli anajua umenifanya nimkubali sana na nimfutilie huyu contester katka safari yake kwenye hizi show, thank you malcom to share with us,
 
The Weekend ni wa moto sana,
Sema ninachoogopa ni kwamba RnB Music inahitaji uwe very dynamic na creative sana.
Akiwa dynamic itamsaidia kuweza kufit kwenye Collabo na wasanii wa Hip Hop, RnB, Raggae, Rock, Pop and any other form of music.

Kuna wasanii kama Miguel, Young Llyod, Jay Holiday, Bobby Valentino, Boys 2 Men, Omarion, walikuwa wanatisha kuliko hata Weekend lakini wamepotea mbali sana. And if you question why? The answer is that they became predictable and obvious.

Kitanchomfanya mwanamziki awe relevant in this time ni uwezo wa kufanya collabo nyingi na wasanii wa aina tofauti.
Mfano angalia Chris Brown, R Kelly, Neyo, wako relevant kwasababu wanaweza kufit kila sehemu.

Album ya kwanza ya THE WEEKEND kuisikia inaitwa KISS LAND,
ameimba Ballads humo ndani, album nzima ni staili moja.
Sasa kwa kizazi chetu cha entertainment watu hawasikilizi ujuvi wanataka kuruka inakuwa ngumu sana kuuza.

But all in all,
Jamaa ana kipaji balaaa.
Ed sheeran nae n noma ushasikiliza album yke inaitwa X ile album n kali ndo album nayoona inaweza shindana na ya sam smith in the lonely hour
 
Malcom lumumba, kedrick, MGuccl na wengine naomba muweke hapa album za sam smith, adela,ed sheeran na the weekend ili tupakue hapa hapa
 
Ed sheeran nae n noma ushasikiliza album yke inaitwa X ile album n kali ndo album nayoona inaweza shindana na ya sam smith in the lonely hour
Huyu jamaa anajua sanaa...
Nimedownload hii album yake nimezipenda sanaa hizi nyimbo
Afire
I see fire
Photograph
I'm a mess
Even my Dad does sometimes
 
Huyu jamaa anajua sanaa...
Nimedownload hii album yake nimezipenda sanaa hizi nyimbo
Afire
I see fire
Photograph
I'm a mess
Even my Dad does sometimes

Ed-Sheeran ni fundi balaaaa.
Anaweza hadi kurap.
Na anaweza kuimba na mtu wa muziki wowote ule. Anajua kuandika saana,
That's what makes him good.
Huu wimbo kaandika sana
 
Malcom lumumba, kedrick, MGuccl na wengine naomba muweke hapa album za sam smith, adela,ed sheeran na the weekend ili tupakue hapa hapa

Mkuu kuna maelekezo nimemuandikai MGuccl kwenye page ya kwanza unaweza fuata yote na ukapata album zote hizi
 
aggyjay
Many women find my face very romantic;It simply drives them crazy.
😀😀😀😀😀😀😀😀
Pole sana kwako kama uso wangu unakuboa.
 
Back
Top Bottom