Wapendwa kuna mambo mengine unawezasema ni uchawi lakini sitaki kufika huko
hawa waheshimiwa wa sehemu yaa kuuzia mafuta pale bigbon kariakoo nilisikiaga
wanachinja mbuzi watatu usiku mmoja mweusi,mweupe na mwingine madoa doa
sikutaka kuamini ijumaa nkaita pale usiku nkakuta lundo la watu wana subiri kupewa
nyama ya mbuzi....niliposhuuka na kuanza kudadisi nkaambiwa yale yale sikusita kuwasha
gari na kuondoka nkasema yawezekana Mungu ameamua kuwapitishia neema watanzania
sasa kama wewe unaitaji nyama bure kuanzia kilo 2 nk njoo usiku
swali langu kuleta kwenu hii ni je mtu akila hii nyama ana kosa ama ina madhara???nasikia magodown mengi tu pugu oad wao wanachinjamchana live na kugawa kwa wafanyakazi na damu kumwaga kwenye mageti...anyway sitakikufika zaidi tujulishane kwa hili
NDUGU YANGU SAMSON BIBLIA INATUAGIZA "vyakula vyote ni halali lakini si vyote vifaavyo; chakula ni kwa tumbo na tumbo ni kwa chakula, BALI MSILE CHOCHOTE KILICHITOLEWA SADAKA.UKILA UNASHIRIKI UOVU WAO.
ni kweli mpendwa ila kuna shemu wanasema viingavyo si najisi najisi vitokavyo inakuwaje ...naomba msaada
APPOSTEL
SAM
kuwa makini Mtu wa Mungu,hiyo ni ibada ya mashetani na hizo nyama ni kama chakula cha shetani....don't be part of it. kuna maneno au misemo inayoambatana nayo ambayo inadhihirisha kuabudu miungu mingine badala ya Mungu aliye hai yaani YEHOVA.
Post yenyewe hiyo hapo juu.Nataka nifuge majini kwa ajili ya kuniingizia pesa na kunipa umaarufu.
Je ni wapi ntapata mtaalam wa kunisaidia kufuga viumbe hivyo mantashahu.
Kuna m2 humu ndani alikua anaomba ushauri wa kufuga majini. Naamini kufuga majini ni Next stage after this. Nikiwa na maana kwamba hii stage ameshapita. Ningemuomba kama yupo karibu atupe msaada. Leo inaweza kuwa mwisho wangu wa kujaza mafuta pale.
:mad2:VP na mafuta yao tuwasusie, kwani yenyewe hayana kafara?