Big up Ally's star bus

Maishanimagumu

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2020
Posts
258
Reaction score
578
Naweza kusema kwa sasa, route ya Dar-Mwanza Ally's wamedhamiria kuibinafsisha. Hizi sasa ni sifa🙌🙌.
Sioni kampuni yakuitishia ally's kwa sasa( kwa mbali labda Tanzanite na Happynation)
All in all kongole kwao... Hii ndo maana halisi "kimya kirefu kina mshindo mkuu"

Your browser is not able to display this video.


Your browser is not able to display this video.


Your browser is not able to display this video.


Your browser is not able to display this video.


Your browser is not able to display this video.


Your browser is not able to display this video.
 
Umehangaika kuinadi Ally's lakn ndugu yangu nikwambie ni kwamba hayo mabus ni machafu, machafu na wahudumu wa humo ndani ni wachafu kwa mavazi na Lugha.
Nilisafiri na hilo bus kutoka Ubungo to Dom ukweli ni kwamba hawakidhi vigezo vya sifa unazo wapa.
 
Enzi za Ally's sport alikuepo dereva anaitwa "Kinyaunyau" bado yupo? Yule mshenzi alikua ni shida asee. Alitufaulisha kutoka Dumila SAA saba mchana SAA nne na nusu akawa anaingia Nyegezi
 
Naona unapiga promo ila kwa njia ya dar_mwanza Tungis ndio inaongoza kuanzia kujali muda na huduma nyingine za abiria
 
Nikimsikiliza mpambe kwenye hiyo video nacheka kimya kimya , kwa kweli watanzania bado hatujuwa kupanda mabasi luxury
Hiyo Basi ni full steel suspension ,manual gearbox ,halafu ndo inapigiwa promo la kutosha
 
Nikimsikiliza mpambe kwenye hiyo video nacheka kimya kimya , kwa kweli watanzania bado hatujuwa kupanda mabasi luxury
Hiyo Basi ni full steel suspension ,manual gearbox ,halafu ndo inapigiwa promo la kutosha
Automatic huku kwetu n shida sijui, alikua nazo Dar Lux zimekufa kama kuku mwenye kideri

Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
 
Wanachofeli Ally's ni poor customer care.
Wajaribu kuweka ke labda watafaa.

Wameanza kuna moja nlikuta yumo Ke.

Labda kwa msio jua au wenye uelewa kidogo juu ya haya mabasi; ni mabasi ya standard za kawaida ila wanajitahidi sana kwenye time management, na ikitokea dharura kwa kampuni yenye magari mengi risk ya kulala njiani ni ndogo as mtafaulishwa fasta.

Ila wajitahidi usafi ndani na lugha nzuri hasa watoto wa kiarabu na baadhi ya makonda wao wa kisukuma ambao washazoea kila mtu ni wa ngalabush.

Kwenye usafi hasa basi la bariadi dar nilichogundua ustaarabu wa abiria wa njia ile ni mdogo sana hasa issue ya usafi, Allys mara moja moja fanyeni fumigation!

Otherwise wanapoelekea ni pazuri!

Mimi ni abiria tu, sina alliance yoyote na kampuni hiyo!
 
Nikimsikiliza mpambe kwenye hiyo video nacheka kimya kimya , kwa kweli watanzania bado hatujuwa kupanda mabasi luxury
Hiyo Basi ni full steel suspension ,manual gearbox ,halafu ndo inapigiwa promo la kutosha
Siku akipanda tahmeed zile scania ndio atajua hajui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…