Big data selling (WhatsApp ,Instagram and Facebook)

Geniuss

Member
Jan 19, 2019
28
202
Salaam wakuu.
Leo nimeona niwashirikishe jambo hili ambalo wengi huenda tumewahi kulisikia au mnaweza kuwa mashahid wazuri.

Umewahi kujiuliza Kwa nn Facebook , Instagram , WhatsApp Na baadhi ya mitandao mingine ya kijamii tunatumia bure kabisa ? Hasa nchi zetu za tatu (third world country?).

Wamiliki Wa mitandao hio Wana wafanyakazi maelfu ,Wana mitambo ya gharama kubwa, wanalipa experts wakubwa kuhakikisha mitambo iko salama (secured ,up and running).

Kwa wanao elewa kidogo unaweza ukapata picha uwezo Wa servers za WhatsApp , Facebook,google etc.
Lakin kwa nn hatulipii sisi watumiaji ?

Kwa utafiti nilioifanya ambao sio mgeni kabisa ni kuwa ,haya makampuni makubwa hua yanauza data Kwa makampuni makubwa ya data analysis,research Na makampuni ya kijasusi kama CIA,MI6,mossad etc.

Makampuni yanayonunua taarifa hizo Kwa makampuni ya kiraia husaidia kufanya analysis Na kuwapa miongozo wanasiasa wakubwa hasa wakati Wa uchaguzi.

Ndio maana kuna kampuni nchini uingereza lililotumia taarifa za Facebook users kufanya analysis Na kumpa Trump mambo muhimu yanayopendwa Na raia Wa Marekan.

Trump akawa anaongea mambo ambayo yalikua yanagusa nyoyo za wamarekan,mambo ambayo walikua hawawezi kuyasema wazi lakin walikua wanajadiliana kwenye mitandao (mfano chuki ya wamarekan Kwa mataifa ya kiarabu, chuki dhidi ya wahamiaji etc).

Pia taarifa zinazouzwa Kwa mashirika ya kipelelezi (intelligece agency)husaidia sana mataifa makubwa kujua udhaifu Wa mataifa pinzan.

Mfano Arab uprising iliyo anzia Tunisia ,wamarekan waliweza kujua Kwa uhakika Kua wananchi Wa Tunisia hawana ajira walio wengi ,hivyo wakawa wanapush ads Na matangazo kwenye mitandao ya kijamii yenye kuamsha hisia za wananchi,na hili lilipelekea mwananchi mmoja kujichoma moto Na hisia kali kuzuka.

Ubaya Wa taarifa hizo ni kuwa nchi zenye taarifa hizo huweza kujua Kwa uhakika kabisa kuwa mfano ,watanzania wengi wanakerwa Na flani au wanakerwa Na jambo flani,hivyo hata wakitaka kuwasha moto Wa kisiasa wanakuwa Na uhakika Wa wanayoyafanya.

Fikiria tena , YouTube , Facebook , Instagram , WhatsApp etc Kwa nn tunatumia bure ?

Kama kuna anayejua sababu tofauti Na hizo nitashukuru akinipa some zaidi
 
Biashara kubwa ya haya makampuni nimatangazo ya biashara. Matumizi ya taarifa binafsi za wateja kisiasa au hata kijasusi yanaweza yakawepo lakini ni sehemu ndogo sana, na wakati mwingine inaweza kufanyika bila idhini ya mitandao husika kama tulivyoona sakata la facebook.

Matangazo ya kibiashara ndo yanaingizia fedha nyingi hii mitandao ya kijamii.
 
Biashara kubwa ya haya makampuni nimatangazo ya biashara. Matumizi ya taarifa binafsi za wateja kisiasa au hata kijasusi yanaweza yakawepo lakini ni sehemu ndogo sana, na wakati mwingine inaweza kufanyika bila idhini ya mitandao husika kama tulivyoona sakata la facebook.

Matangazo ya kibiashara ndo yanaingizia fedha nyingi hii mitandao ya kijamii.
 
Hii habari ni ya kweli lakini ni ya zamani, ni habari ya miaka mwili iliyopita,Facebook walishutumiwa sana kwa kuuza data kwa mashirika ya data analysis
 
Official revenue za mapato ya social media nyingi ni
Ads..
Matangazo yanalipiwa, ads za aina mbali mbali. Zina bei tofauti.

Games and inapp payment
Online bussiness pages.. zinalipiwa kilawakati.

Wanakuruhusu kujiunga free sababu wanaamini idadi ya watu ikiongezeka. Ndipo soko lao linapanuka zaidi. So ni rahis biashara kuwafikia watu kwa njia hiyo.

Hizo ndio official sources za mapato. Na si big dats business kama ulivyosema.
Yes kumekuwa na rumors kuwa hawa jamaa
Waliwah kuruhusu japo ni data chache.. wananchi wakaja juu. Kesi ikawa kubwa mpaka boss akawekwa kikao na bunge.

Kuna uwezekano lakini si sana. Kwa sasa watu wako makini sana


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo bure namimi naombeni mniunganishe ili niweze kuinjoi.

Kinyume na hapo umeandika kitu ambacho hujakifanyia utafiti.
 
Biashara kubwa ya haya makampuni nimatangazo ya biashara. Matumizi ya taarifa binafsi za wateja kisiasa au hata kijasusi yanaweza yakawepo lakini ni sehemu ndogo sana, na wakati mwingine inaweza kufanyika bila idhini ya mitandao husika kama tulivyoona sakata la facebook.

Matangazo ya kibiashara ndo yanaingizia fedha nyingi hii mitandao ya kijamii.
Watu wanaojitangaza mitandaoni hawamwagi pesa zao hovyo hovyo kama unavyofikiri. Lazima apate data kwanza akazichambue ndiyo aende kununua matangazo.

Sasa kuna makampuni yanayonunua 'raw data' kwa kutumia 'application programming interface - api' (hii ni pale mmiliki wa mtandao anapompa mtumiaji uwezo wa kupata taarifa za ndani). Baada ya kuzipata hizo 'raw data' wanauza kwa watu wengine kama wanasiasa/wafanyabiashara ambao hutumia kutafuta masoko. Amini usiamini biashara kubwa ya kwenye mitandao ni "data mining"
 
Biashara kubwa ya haya makampuni nimatangazo ya biashara. Matumizi ya taarifa binafsi za wateja kisiasa au hata kijasusi yanaweza yakawepo lakini ni sehemu ndogo sana, na wakati mwingine inaweza kufanyika bila idhini ya mitandao husika kama tulivyoona sakata la facebook.

Matangazo ya kibiashara ndo yanaingizia fedha nyingi hii mitandao ya kijamii.
Facebook Na YouTube kuna ads yes ,lakin WhatsApp kuna ads kwan mkuu ?
 
Hiyo bure namimi naombeni mniunganishe ili niweze kuinjoi.

Kinyume na hapo umeandika kitu ambacho hujakifanyia utafiti.
Mkuu niliposema bure sijamaanisha bure ya bundle
Kumbuka Kwa kawaida application kama WhatsApp ulaya wanalipia kudownload tu Na kuweka au ku install kwenye cm yako.
Cjui kama watu wanalijua hili.
 
Salaam wakuu.
Leo nimeona niwashirikishe jambo hili ambalo wengi huenda tumewahi kulisikia au mnaweza kuwa mashahid wazuri.
Umewahi kujiuliza Kwa nn Facebook , Instagram , WhatsApp Na baadhi ya mitandao mingine ya kijamii tunatumia bure kabisa ? Hasa nchi zetu za tatu (third world country?).
Wamiliki Wa mitandao hio Wana wafanyakazi maelfu ,Wana mitambo ya gharama kubwa, wanalipa experts wakubwa kuhakikisha mitambo iko salama (secured ,up and running).
Kwa wanao elewa kidogo unaweza ukapata picha uwezo Wa servers za WhatsApp , Facebook,google etc.
Lakin kwa nn hatulipii sisi watumiaji ?
Kwa utafiti nilioifanya ambao sio mgeni kabisa ni kuwa ,haya makampuni makubwa hua yanauza data Kwa makampuni makubwa ya data analysis,research Na makampuni ya kijasusi kama CIA,MI6,mossad etc.
Makampuni yanayonunua taarifa hizo Kwa makampuni ya kiraia husaidia kufanya analysis Na kuwapa miongozo wanasiasa wakubwa hasa wakati Wa uchaguzi.
Ndio maana kuna kampuni nchini uingereza lililotumia taarifa za Facebook users kufanya analysis Na kumpa Trump mambo muhimu yanayopendwa Na raia Wa Marekan.
Trump akawa anaongea mambo ambayo yalikua yanagusa nyoyo za wamarekan,mambo ambayo walikua hawawezi kuyasema wazi lakin walikua wanajadiliana kwenye mitandao (mfano chuki ya wamarekan Kwa mataifa ya kiarabu, chuki dhidi ya wahamiaji etc).
Pia taarifa zinazouzwa Kwa mashirika ya kipelelezi (intelligece agency)husaidia sana mataifa makubwa kujua udhaifu Wa mataifa pinzan.
Mfano Arab uprising iliyo anzia Tunisia ,wamarekan waliweza kujua Kwa uhakika Kua wananchi Wa Tunisia hawana ajira walio wengi ,hivyo wakawa wanapush ads Na matangazo kwenye mitandao ya kijamii yenye kuamsha hisia za wananchi,na hili lilipelekea mwananchi mmoja kujichoma moto Na hisia kali kuzuka.
Ubaya Wa taarifa hizo ni kuwa nchi zenye taarifa hizo huweza kujua Kwa uhakika kabisa kuwa mfano ,watanzania wengi wanakerwa Na flani au wanakerwa Na jambo flani,hivyo hata wakitaka kuwasha moto Wa kisiasa wanakuwa Na uhakika Wa wanayoyafanya.
Fikiria tena , YouTube , Facebook , Instagram , WhatsApp etc Kwa nn tunatumia bure ?
Kama kuna anayejua sababu tofauti Na hizo nitashukuru akinipa some zaidi
bro samahani simu yangu vodafone 685 hai install instagram yaan ina download alafu ku install haikubali please !!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom