Bifu kali kati ya Diamond na Clouds Media

Hivi kwa mawazo yako unataka kudhani Dozen na Milard wamejiendea tu?.....ile ni biashara ndugu na Clouds wapo kazini.

Alafu hao Jembe Fm ni kituo kama Clouds kwa hiyo kama ambavyo huwezi kuwasiki EATV au Redio wakipromote Fiesta.
 
punguza mihemko kijana kuanzisha radio/tv sio kama kuanzisha WCB!
Mkuu acha kukariri
Ukifanya maisha kuwa magum fanya kwa upande wako,hakuna ugum kama unavyofikiria.
Hivi unajua mafanikio aliopata Yussuf Chuchu yanaweza kumfikia Diamond kipesa?
Sasa mbona Alianzisha Chuchu Fm na inafanya vizuri sana mpaka leo,na Spider(Muimbaji mwenzie wa Zamani)amekula shavu pale kwenye nafasi ya juu ya uongozi.
Diamond ni Brand nyingine kabisaa

 
We nyimbo za Churaa,Sijui ananesa nesa,
Haya chura huyu sasa,halafu uje useme ni Sawa na Shishi baby
 

Attachments

  • chura.jpg
    chura.jpg
    23.2 KB · Views: 42
Mkuu acha kukariri
Ukifanya maisha kuwa magum fanya kwa upande wako,hakuna ugum kama unavyofikiria.
Hivi unajua mafanikio aliopata Yussuf Chuchu yanaweza kumfikia Diamond kipesa?
Sasa mbona Alianzisha Chuchu Fm na inafanya vizuri sana mpaka leo,na Spider(Muimbaji mwenzie wa Zamani)amekula shavu pale kwenye nafasi ya juu ya uongozi.
Diamond ni Brand nyingine kabisaa


inaezekana unamtukuza mond sana,clouds walipofika diamond hana uwezo wa kuanza akawapita. kuanzisha anaweza ila kuwapita hawezi! labda aanzishe radio/tv za online kama globaltv,ayo tv ila sio hizi za fm.

NB: sio shabiki wa clouds ila mafanikio yana heshima yake!
 
Haiwezi tokea hiyo kitu labda babu tale amwage mond #mawazo tu
 
Inamilikiwa na Sebastian Ndege the former Clouds fm presenter wa kipindi cha njia panda pia ni business partner na clouds media
mkuu, anayemiliki hiyo station, anajiita "jembe ni jembe" ni tajiri wa mwanza huyu. aliyevaa fulana nyeusi.
 

Attachments

  • Screenshot_2016-05-23-00-34-22.png
    Screenshot_2016-05-23-00-34-22.png
    135 KB · Views: 62
Nakubaliana na wewe Jana nilikua nasikiliza XXL kuna maneno yalisemwa ya Kumsifia Ali Kiba kua ni msanii wa kimataifa na hakuna kama yeye Tanzania nzima

Sasa unapingana na ukweli mkuu? au ulidhan mkataba wa Sony ni sawa ni mikataba yenu ya wakna bab tale ya kusaini chini ya miti?
 
Ni dhahiri sasa msanii wa kimataifa Diamond na brand kubwa ya radio na tv Clouds Fm, bifu la hadharani.

Hii ni kutokana na media hiyo kutopost chochote kuhusu Diamond kwa muda sasa ikiwemo hata nyimbo mpya anazokuwa anatoa. Hii ni tofauti na mpinzani wake alikiba kwan yeye huposstiwa kila mara anapokuwa na kitu kipya na kizuri kwa mashabik wake.

Mfano juzi Alikiba alipokwenda South Africa, Clouds ilipost kupia mitandao na kutuma mwakilishi aende akareport Kiba akisign na Sony

Neyo kaja Tanzania, Clouds kimyaaaa, Millard Ayo pia tofaut na tulivyozoea hutupa habari hali imekuwa tofauti, hajareport lolote kuhusiana na ujio wa Neyo wala shoo ya Diamond.

My take: Millard usipotee njia, hao wapo na wewe sasa hivi, baadaye utaondolewa kama wengime walivyowahi fanyiwa.



Hapa kutakuwa na ugomvi kati ya lile kundi linalomzunguka Diamond yaani management yake na Clouds media. Kwa mtizamo wa ndani chanzo cha huu ugomvi unaweza kuwa mgomo baridi wa hii new management ya Diamond kukataa kubeba unga wa Clouds. Kumbuka, Clouds ndiyo inakuza na kuua vipaji vya wasanii hapa bongo. Ukishindwa kubeba sembe unanyimwa "Air Time." Simple as that.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom