mwitaz
JF-Expert Member
- Feb 19, 2012
- 315
- 93
Makamanda wote JF, Umoja ni nguvu katika juhudi yoyote ikusidiwayo katika kuleta mafanikio...
Ndugu zangu mafanikio yetu yamo katika msemo huu 'BIDII YETU ITAINGIZA CHADEMA MADARAKANI' ambalo pia ni kundi katika mtandao wa www.facebook.com
Jamani hakuna mafanikio bila juhudi na maumivu, hivyo basi lazima tukubali:-
1. Kulala na kushinda njaa,
2. Kupigwa kwa vilungu,
3. Kumwaga damu,
4. Kupigwa na mabomu ya machozi,
5. Kufungwa jela kwa kubambikiwa makosa>
kwa kifupi kunyanyaswa kivyovyote vile katika harakati za kuingiza CHADEMA madarakani..
Nina Imani kuwa CHADEMA ni chama imara ambacho kitaongoza Tanzania na kitaleta MABADIRIKO yatakayoleta hisia
¡). Itakayo onekana machoni mwa Watanzania
¡¡). Itakayogusa nyoyo za Watanzania
¡¡¡). Yatakayokubarika si na Watanzania tu bali walimwengu wote...
Watanzania wenzangu, huu ni mwanzo mpya, mwamko mpya unaohitaji BIDII YETU KATIKA KUINGIZA CHADEMA MADARAKANI, na hivyo basi ni lazima tujikaze kisabuni:-
a). Kugugutusha,
b. Kuelewesha,
c. Kuelimisha na
d. Kuhamasisha jamii pana ya Watanzani kuhusu unyanyapa, ugandamizaji, ufisadi, maongozi mabovu, siasa mbaya, elimu mbovu, ubepari, ufujaji wa mali za umma na matumizi mabovu ya dola; yanayoendelezwa na
¤. CHAMA CHA MAPINDUZI,
¤. CHAMA CHA MABEPARI,
¤. CHAMA CHA MAFISADI,
¤. CHAMA CHA MAGAMBA,
¤. CHAMA CHA MAOVU,
¤. CHAMA CHA MAAFA..
Mwana JF, Pamoja tunaweza.
Nawasilisha.
Ndugu zangu mafanikio yetu yamo katika msemo huu 'BIDII YETU ITAINGIZA CHADEMA MADARAKANI' ambalo pia ni kundi katika mtandao wa www.facebook.com
Jamani hakuna mafanikio bila juhudi na maumivu, hivyo basi lazima tukubali:-
1. Kulala na kushinda njaa,
2. Kupigwa kwa vilungu,
3. Kumwaga damu,
4. Kupigwa na mabomu ya machozi,
5. Kufungwa jela kwa kubambikiwa makosa>
kwa kifupi kunyanyaswa kivyovyote vile katika harakati za kuingiza CHADEMA madarakani..
Nina Imani kuwa CHADEMA ni chama imara ambacho kitaongoza Tanzania na kitaleta MABADIRIKO yatakayoleta hisia
¡). Itakayo onekana machoni mwa Watanzania
¡¡). Itakayogusa nyoyo za Watanzania
¡¡¡). Yatakayokubarika si na Watanzania tu bali walimwengu wote...
Watanzania wenzangu, huu ni mwanzo mpya, mwamko mpya unaohitaji BIDII YETU KATIKA KUINGIZA CHADEMA MADARAKANI, na hivyo basi ni lazima tujikaze kisabuni:-
a). Kugugutusha,
b. Kuelewesha,
c. Kuelimisha na
d. Kuhamasisha jamii pana ya Watanzani kuhusu unyanyapa, ugandamizaji, ufisadi, maongozi mabovu, siasa mbaya, elimu mbovu, ubepari, ufujaji wa mali za umma na matumizi mabovu ya dola; yanayoendelezwa na
¤. CHAMA CHA MAPINDUZI,
¤. CHAMA CHA MABEPARI,
¤. CHAMA CHA MAFISADI,
¤. CHAMA CHA MAGAMBA,
¤. CHAMA CHA MAOVU,
¤. CHAMA CHA MAAFA..
Mwana JF, Pamoja tunaweza.
Nawasilisha.