masanzu
JF-Expert Member
- May 6, 2013
- 605
- 219
Nilikuwa niko bush mmoja hivi nikabahatika kukutana na vitu hivyo kwa mzee mmoja ambaye alikuwa mwenyeji wangu akaanipa story yake mwenyewe anasema ni mmoja ya bidhaa walizo ziacha wajerumani ni jiko na kufuli ila kilicho nivutia ni jiko halihitaji kuwa na kiberiti ukigusisha msumari linawaka