Biblia kwenye simu inatumia internet gani

Biblia kwenye simu inatumia internet gani

wa stendi

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2016
Posts
26,008
Reaction score
28,342
Ukiangalia app karibuni zote kama instagrum fb twiter you tube snap chat whatsap na hata jf au app yoyote ya ku downglod play store huwezi tumia bila kuwasha data.

Lakini app ya biblia ikishaipakua play store unaweza tumia bila hata kuwasha data yaani hata kama huna mb unaingia bila shida .je hii app ya biblia inatumia internet gani kwenye simu?au mungu ameshatulipia bando bila sisi kujua.
 
Ukiangalia app karibuni zote kama instagrum fb twiter you tube snap chat whatsap na hata jf au app yoyote ya ku downglod play store huwezi tumia bila kuwasha data.

Lakini app ya biblia ikishaipakua play store unaweza tumia bila hata kuwasha data yaani hata kama huna mb unaingia bila shida .je hii app ya biblia inatumia internet gani kwenye simu?au mungu ameshatulipia bando bila sisi kujua.
Rekebisha title yako: baadhi ya apps za Bible huwezi kuzifungua bila data on. Ni zile za offline tu ndio hufunguka bila hata mb
 
Biblia nzima inatosha kwenye MB 5 mkuu. Ni kitu kidogo sana kwa computer / simu.

So haihitaji data kwasababu maneno yote yaaliyopo kwenye biblia yanadownloadiwa pale unapoinstall app kwa mara ya kwanza na yanabaki humo.
 
Ukiangalia app karibuni zote kama instagrum fb twiter you tube snap chat whatsap na hata jf au app yoyote ya ku downglod play store huwezi tumia bila kuwasha data.

Lakini app ya biblia ikishaipakua play store unaweza tumia bila hata kuwasha data yaani hata kama huna mb unaingia bila shida .je hii app ya biblia inatumia internet gani kwenye simu?au mungu ameshatulipia bando bila sisi kujua.
Haitumii internet ukiidownload inakuja na data zote, maana ni manenotu, unaweza kukuta biblia nzima hata haifiki 3 Mb
 
Biblia nzima inatosha kwenye MB 5 mkuu. Ni kitu kidogo sana kwa computer / simu.

So haihitaji data kwasababu maneno yote yaaliyopo kwenye biblia yanadownloadiwa pale unapoinstall app kwa mara ya kwanza na yanabaki humo.
Uzi na uishe umeeleza vyema



Pia niwakumbushe tunapokea rambirambi za maradona

Kutoa ni moyo si utajiri

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Hilo ni neno la Mungu,
Waheshimiwa Mabebelu wakiamua lisimwe bule,
Chezea Mabebelu wewe,
Bebelu ndiyo kila kitu.
 
Biblia nzima inatosha kwenye MB 5 mkuu. Ni kitu kidogo sana kwa computer / simu.

So haihitaji data kwasababu maneno yote yaaliyopo kwenye biblia yanadownloadiwa pale unapoinstall app kwa mara ya kwanza na yanabaki humo.
Bado sijaelewa hata
 
Bado sijaelewa hata
App zinatumia data ili kuweza kupata vitu ambavyo vinabadilika badilika au vinaongezeka kutoka kwenye servers mfano message za whatsapp na post mpya za instagram.

Ila biblia haibadiliki. Haiongezeki wala haipungui. Haina jipya. So biblia nzima inakuwa ndani ya app wakati unainstall app husika kwahiyo haitohitaji data kwasababu hakuna kipya cha kuchukua kutoka kwnye server.
 
Back
Top Bottom