Biblia: Dawa thabiti ya mapenzi

Biblia: Dawa thabiti ya mapenzi

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,579
Reaction score
161,430
KWA WENYE FIKRA PANA TU BIBLIA ILIPOSEMA "Enyi Wanaume Ishini na wake zenu kwa AKILI" Mungu alikuwa anajua anachosema. Kama huna akili Mwanamke atakukoroga maisha yako yote na utaishia kusema "Women are so Complicated"

Wanawake huwa wanaongea vitu 'Kirahisi-rahisi tu' lakini huwa vinamaanisha 'Vitu Vigumu Ajabu'. Wanawake wanaweza kukwambia "Mi nataka Mwanaume anipende tu BHAASSS!! Ukidhani kwamba Upendo wako unatosha kwake UTAKUWA UMEFELI.

Wanawake wanahitaji vitu 4 na vyote VIENDE KWA PAMOJA (Perpendicularly), vitu hivyo ni;
1.HELA
2.GOOD SEX
3.CARING MAN
4.MUDA

Kuna Wanaume wanajua"Kusex" mwanamke anatosheka, na wana hela ila WAKO BUSY... Hii factor ya wewe kuwa Busy tu itamfanya mtu mwingine mwenye Muda "Amtafune kiulaini kabisa" halafu wewe utashangaa..."Mke wangu nampa kila kitu,hela za kila kitu nampa..YES, Amekaa muda mrefu uko bize unasaka hela na adui namba 1 wa Mwanamke ni

LONELINESS....
A lonely Woman can easily betrapped by anyone.. hata House boy akimpa ATTENTION endlessly anakula mzigo

Unataka Mwanamke awe wako peke yako?Fuata kanuni ya KIBIBLIA, ishi nae kwa akili....
Mpe MUDA..
Mpe HELA...
Mpe Kisago kitandani...
Mpe CARE na ATTENTION

Nimemaliza! Kazi kwenu
 
thats why they are so complicated ,what do u get in return after those?
 
√ Stress generating machine

HAMKUZALIWA NAYE MMEKUTANA NAYE UKUBWANI TENA KWENYE UZINZI ILA ANAWEZA KUWAHARIBU NDUGU ZAKO WAZAZI WAKO NA MARAFIKI ZAKO MLIOKUWA NAO MLIOCHEZA NAO HATA MLIOKUWA NAO
KWELI WANAWAKE NI STRESS GENETATING MASHINE IF YOUR NOT STABLE
 
√ Yeye ni kiumbe dhaifu ila kinatawala
√ Ni chombo cha uzazi na mmiliki halisi na halali wa watoto wako.
√ Chombo cha starehe
√ Stress generating machine

Hiyo number NNE bujibuji umenivunja mbavu
 
Back
Top Bottom