Superstriker Emmanuel Okwi vs mtoto wa mzee Mwalubadu.
Dedication; Staki Demu by Kibla
ikitokea okwi akaenda mahakamani kushtaki,je mahakama inaweza kumwambia athibitishe yeye si GOVINDAAAAA
Superstriker Emmanuel Okwi vs mtoto wa mzee Mwalubadu.
Dedication; Staki Demu by Kibla
Ndio wamewahi..kwani vipi? Kuna movie moja wameigiza huku Dumelo akiwa mdogo wa Ramsey wakiwa wanamgombania Omotola. It is a good movie...nimesahau jina. Nzuri saaaaaana.
Chinekee nadhani ni kama Ooh My God (OMG) au what's this?; kwa jinsi nionavyo wenyewe wakiitumia.
Hahahaaaaa! Atadhibitisha pasi shaka lolote! Na mie sitokosa kwenda kushuhudia! LOLEST!
duh nitafutie title zake basi
umewahi shika mic govinda?
we si ushindwi kitu?
Hahahaaaaa! Atadhibitisha pasi shaka lolote! Na mie sitokosa kwenda kushuhudia! LOLEST!
Hahahaaaa! Tafadhaliiiii Bana! Mi mtu wa PWANI, hiyo Kitu kwetu ni NAJISI KABISAAA! Hata kuigusa tu! Sijawahi kutana na mtu wa hivo, siku ikitokea NITATOKA BARU nguo mkononi, hata iweje!!!!!! Khaaaaa! Wewe je kisu kimepita au ndo kama hivi LOLEST!!!!
Na mimi ningekwambia NIMESHIKA MIC what next????
Hahahahahhaaaaa! Labda uko kwenu na watu wa kenu! Sisi kwetu umbea ni moja ya burudani, coz REAL LIFE ACTORS!!!! LOLEST!!!! Na kupitia umbea tunajifunza mengi sana sana yaliyowakuta wengine ili tujiepushe sie!!! Kwetu umbe sunaaaaa! Maadamu uwe wa ukweli tuuuu, na hakuna aliesingiziwa sababu uongo zambiiii! BAAAAAASSSS! Hivo we shika ya kwenu, yetu tuachie wenyewe tunaoyaweza!!!!umbea ni chanzo cha ndoa kuvujika jichunge sana mleta maada usije ukawa unavunja ndoa za watu kwa umbea au hata yako