Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
sipendi kuwa mchoyo wa elimu kwa hiyo acha niwapashe khabari kidogo..........lakini huyu bibi kule Kenya anapenda vijana wadogo wadogo wa kiume wampige mtama wa uhakika na huwalipa vizuri sana kama kazi yao imemridhisha na baadaye huwakinai na kuwatimua. Yupo tayari kufunga biashara zake akipata huduma stahiki...................na wakati mwingine huwafungia ndani waathrika wake kwa kipindi hivi akipata huduma ya uhakika...........................hata alisababisha kijana mmoja amkimbie mkewe kwa kuona mgawo wa mipesa ya huyu bi kizee........................
nisiwamalizie utamu wenye kuujua umombo someni kwa furaha na wale ambao hawaujui basi ridhikeni na hii dibaji yangu...............
Amorous granny with a love for young studs
baada ya kusoma hivi ukipata kizee au bibi au babu na ana mipesa ya kumwaga je utafukuzia ugali au utachunga heshima yako hata kama ni kulala na njaa?
hebu mnjibu nami nitaweelezea kilichoko moyoni mwangu kama ningelikuwa nimebanwa na huyu Bi kizee...........
nisiwamalizie utamu wenye kuujua umombo someni kwa furaha na wale ambao hawaujui basi ridhikeni na hii dibaji yangu...............
Amorous granny with a love for young studs
baada ya kusoma hivi ukipata kizee au bibi au babu na ana mipesa ya kumwaga je utafukuzia ugali au utachunga heshima yako hata kama ni kulala na njaa?
hebu mnjibu nami nitaweelezea kilichoko moyoni mwangu kama ningelikuwa nimebanwa na huyu Bi kizee...........