Wapenzi wakiwa katika harakati ya kula chakula cha usiku,jamaa akapata swali hili;
Bwana:honey hivi kabla yangu ulikuwa na wanaume wangapi?Demu kimya
jamaa akauliza mara ya pili,demu bado kakomaa vile vile,jamaa akauliza mara ya tatu,
demu bado akawa kimya.jamaa akawaka "Honey una nidharau kiasi hiki?nakuuliza hutaki
kunijibu siyo?Demu akajibu :Hee honey si ndio nawahesabu kimya kimya!!nilikuwa nishafika 89,
ngoja nianze upya sasa!!
Jamaa akazirai.
Bwana:honey hivi kabla yangu ulikuwa na wanaume wangapi?Demu kimya
jamaa akauliza mara ya pili,demu bado kakomaa vile vile,jamaa akauliza mara ya tatu,
demu bado akawa kimya.jamaa akawaka "Honey una nidharau kiasi hiki?nakuuliza hutaki
kunijibu siyo?Demu akajibu :Hee honey si ndio nawahesabu kimya kimya!!nilikuwa nishafika 89,
ngoja nianze upya sasa!!
Jamaa akazirai.