Bibi mwingine aibukia Mwanza

Bibi mwingine aibukia Mwanza

Nyenyere

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2010
Posts
14,842
Reaction score
10,765
Roho ya ndoto za kutibu magonjwa sugu imeendelea kutenda kazi baada ya bibi mwingine hii leo kujitokeza huko Mwanza. Habari hizi nimekuta zinafikia mwisho hapo WAPO FM.
 
Anatakiwa aote ndoto ya kuwatibu samaki wa ziwa victoria wanaoteseka na kufa kwa sababu ya magugu naji na uchafu wa jiji lake la mwanza...!!
 
Anatakiwa aote ndoto ya kuwatibu samaki wa ziwa victoria wanaoteseka na kufa kwa sababu ya magugu naji na uchafu wa jiji lake la mwanza...!!

LMAO.....
dah mkuu hii kiboko
 
Mmh,
Nilisikiliza TBC1 saa mbili usiku J'tano kuhusu Margareth yule wa Tabora eneo la Uzunguni, hat mkuu wa mkoa alikwenda kunywa kikombe na akaongea TBC1
 
Roho ya ndoto za kutibu magonjwa sugu imeendelea kutenda kazi baada ya bibi mwingine hii leo kujitokeza huko Mwanza. Habari hizi nimekuta zinafikia mwisho hapo WAPO FM.

unazungumzia mwanza ipii?
 
Niliisikia hii kitu kwa mbali redioni,hebu tujuzane wenye taarifa kamili.
 
Baada ya muda serikali itabidi kufunga hospital na kuelekeza fedha zote za sekta ya afya kwingine maana sasa watanzania wameamua kurudia enzi za ujima
 
Back
Top Bottom