Bibi muokota makopo

Bibi muokota makopo

melisafilbert

Member
Joined
Sep 3, 2013
Posts
67
Reaction score
9
habari za mchana wana jamii hili ni angalizo tu kwa wale wenye watoto kwanza watoto wasizoee kufungulia watu milango muwafundishe maana kuna watoto wengine wakisikia mtu kagonga wanakimbilia geti wanafungua pili jamani watoto wafundishwe kutokuongea na watu wasiowajua zaidi ya salamu kwa ajili ya kuheshimu wakubwa lakini tatu jamani muwe sana makini na hawa watu ambao wanashughuli kama vile kuokota makopo au chupa hizi za maji especially kama humfahamu kuna watu wengi wanaofanya kazi kama hizi lkn wanakuwa na mambo yao mengine kuna watu huwa wanaonekana kama zimefyatuka hivi lkn huwa wanakusudi lao maalum kuna rafiki wa rafiki yangu yeye anasema mtaani kwao kuna bibi anaokotaga makopo na chupa kwenye mtaa wao sasa juzi kati hapa bibi akapita akamuita mtoto wake wa miaka 3 mtoto kwasababu anamuonaga bibi anapita kila siku akaenda kumfwata bibi jalalani mtoto alivyorudi nyumbani amekatwa hapa mbele ya ulimi anasimulia bibi akata hapa anaonyesha sehemu aliyokatwa mtoto kupewa chakula anatapika leo ni siku ya pili mtoto anatapika kila anachopewa na anakohoa mama mtu akaamua kwenda kwa bibi kumuuliza amefika kwake kaambiwa bibi kasafiri toka jana mama mtu saiz amechanganyikiwa tu hajui cha kufanya na mtoto ndo hivyo anakohoa na kutapika kila anachopewa anakitapika
 
Du, nayo kali aisee! Mwenyezi mungu na amponye mtoto huyo, ameni!
 
Ampeleke kwenye maombi amponye mtoto!!
 
yeeeuuuwwiiii...ndo maana wanachomwaga moto nakukatwa mapanga!!!
 
Akiendelea kukaa na huyo mtoto hapo nyumbani anaweza ampoteze mtoto.... ampeleke kwenye Maombi faster...
 
Umaskini una mambo mengi na nyie hamna kbs PLAN B mnajua ni huyo Bibi 100%Kisa kakaa nae...TRY TO GET OUT OF THE BOX...!
 
Namuombea kwa Mungu mtoto huyo apone. Ila kweli wazazi tuwe makini kuwalinda watoto wetu dhidi ya majanga kama hayo!
 
nampa pole kwanza! lakini jamani naomba ufafanuzi wa maombi mnayotaka akfanyiwe, ni maombi yepi na wapi?

Kama mtoto alikuwa mzima, akachanjwa na bibi ulimi akaanza kuumwa... hii ni ishu ya kiimani zaidi....kama ni Mkristo aende mahali anapojua akiombewa atapona.... kama dini zingine nafikiri wana utaratibu wao pia...akienda hospital I "bet" ataambiwa hakuna ugonjwa unaonekana....
 
nampa pole kwanza! lakini jamani naomba ufafanuzi wa maombi mnayotaka akfanyiwe, ni maombi yepi na wapi?

kabanga binafsi mimi ni mtu mbishi Tomaso alisingiziwa tu but naadmire kuna watu wene karama ya Mungu...kama victim yupo Dar anaweza kumpeleka mtoto Boko Basihaya afate kibao kinachoelekeza John Baptist Girls Sec School mita km 60 utaona kamtaa kameingia kushoto named Chagga Street-Ulizia kwa Babu anayeombea! He is Rt. Canal or Brigedia ila ana karama...try utarudi hapa kusema mwenyewe! Hatakulazimisha kuokoka,wala kukupa kikombe!
 
Last edited by a moderator:
Mambo ya iman lazima yaende kiiman zaidi otherwise siyo huyo bibi..!! Maombi muhimu hata kama huamini, Hurry up!!
 
Mbona hii hatari! dawa ya moto ni maji
Wao kama wanajivunia ushirikina nyie jivunieni mungu wenu
 
kabanga binafsi mimi ni mtu mbishi Tomaso alisingiziwa tu but naadmire kuna watu wene karama ya Mungu...kama victim yupo Dar anaweza kumpeleka mtoto Boko Basihaya afate kibao kinachoelekeza John Baptist Girls Sec School mita km 60 utaona kamtaa kameingia kushoto named Chagga Street-Ulizia kwa Babu anayeombea! He is Rt. Canal or Brigedia ila ana karama...try utarudi hapa kusema mwenyewe! Hatakulazimisha kuokoka,wala kukupa kikombe!
hapo kaka mkubwa umekuwa muwazi safi, nimeuliza maana kila mtu anakimbilia maombi maana mengine madudu tu...
 
Back
Top Bottom