101 East
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 1,040
- 2,121
Sasa hivi ukiingia mtandaoni yaani utakuta mashindano ya matangazo kila unapo-scroll simu yako kwenye page za mitandao utakutana na matangazo ya BIASHARA.
Biashara hizi ni za madalali wa viwanja na watu wenye makampuni ya uuzaji na uagizaji wa magari. Biashara hizi zimeshamili mjini ambapo zinaleta mwanya wa matapeli kupita na fursa hii kuanza kuwadhulumu wananchi.
Rai yangu tuwe makini tusije ingizwa kwenye utapeli au migogoro na Huu utitiri wa haya makampuni.
Asanteni, nawasilisha.
Biashara hizi ni za madalali wa viwanja na watu wenye makampuni ya uuzaji na uagizaji wa magari. Biashara hizi zimeshamili mjini ambapo zinaleta mwanya wa matapeli kupita na fursa hii kuanza kuwadhulumu wananchi.
Rai yangu tuwe makini tusije ingizwa kwenye utapeli au migogoro na Huu utitiri wa haya makampuni.
Asanteni, nawasilisha.