Mr jemoo
New Member
- Nov 15, 2022
- 2
- 10
Jamani Wana Jamii forum nilitengemeza mgahawa wangu mzuri na Classic maeneo flani kwa ajili ya mapishi ya Supu,chapati,ugali, na wali.
Nikawa nauza vizuri TU siku ya kwanza hamna hata Chakula kimoja kilibaki yaan saa 5 hamna supu Wala chapati mchana hivo hivo
Ila siku zilivyoenda kama wiki ya pili mambo yakabadilika Yani kuanzia asubuhi mpaka jioni wanakuja watu 4 Hali ambayo sio ya kawaida hata kidogo mpaka nikafunga.
Nikaona ule ni Uchawi Live na wengine wakaniambia wanataka uhame uwaachie Site😣 ,
Wengine wananiambia niendelee kumwaga mazaga zaga ya kuvutia zaidi dah😓
Jamani kwa wazoefu sehemu zinazokuwa na mambo ya kishirikina kama hizi wenzetu mnafanyeje nisaidieni nirudi kwa ofisi yangu.
Ile ndo mi nilikuwa naitegemea Sina maisha bila pale na niliwekeza nguvu zangu zote nikiamini natoboa.
Please msaada kwa mliowahi kumbana na watu wanaologa biashara zenu zife au kutaka kuwahamisha mni save niokoe ugali wangu🙏🙏
Nikawa nauza vizuri TU siku ya kwanza hamna hata Chakula kimoja kilibaki yaan saa 5 hamna supu Wala chapati mchana hivo hivo
Ila siku zilivyoenda kama wiki ya pili mambo yakabadilika Yani kuanzia asubuhi mpaka jioni wanakuja watu 4 Hali ambayo sio ya kawaida hata kidogo mpaka nikafunga.
Nikaona ule ni Uchawi Live na wengine wakaniambia wanataka uhame uwaachie Site😣 ,
Wengine wananiambia niendelee kumwaga mazaga zaga ya kuvutia zaidi dah😓
Jamani kwa wazoefu sehemu zinazokuwa na mambo ya kishirikina kama hizi wenzetu mnafanyeje nisaidieni nirudi kwa ofisi yangu.
Ile ndo mi nilikuwa naitegemea Sina maisha bila pale na niliwekeza nguvu zangu zote nikiamini natoboa.
Please msaada kwa mliowahi kumbana na watu wanaologa biashara zenu zife au kutaka kuwahamisha mni save niokoe ugali wangu🙏🙏