Kataa wahuni
Member
- Jul 21, 2025
- 16
- 20
VIpi kwa hivi wifi za kawaida huku nilipo hawajafika TTCLMh jaribu mkuu iyo sijawah. Ila kama una aacces na TTCL Andika barua kuombe internet kwa cable way then ndo ulishe mittaa
Asithubutu Bora atumie router za yas au voda TTCL inasumbua sana hasa huku maeneo ya kigamboniMh jaribu mkuu iyo sijawah. Ila kama una aacces na TTCL Andika barua kuombe internet kwa cable way then ndo ulishe mittaa
Sijajua huku uliko ila TTCL nje ya mji pembezon mwa miji huwa kipengele kidgo.Vi
VIpi kwa hivi wifi za kawaida huku nilipo hawajafika TTCL
Ni kwel wao huwa wamebase kweny centre sanaAsithubutu Bora atumie router za yas au voda TTCL inasumbua sana hasa huku maeneo ya kigamboni
nipo mkoa nataka ninunue ya Airtel wadau wawe wanachangia buku buku nione kama tutaishiAsithubutu Bora atumie router za yas au voda TTCL inasumbua sana hasa huku maeneo ya kigamboni
kucontrol matumizi nimepitia sehemu mbalimbali nimeona namna bora ya kucontrol hata kwa wale wanaoscan na kutaka kutumia bure hilo naliwezaUtapiga ela japo matumiz utacontrol vp
Mbona Mimi sikamatwiTCRA wanataka upate leseni, application fee ya leseni ni 150k, leseni ni kama 450k hivi kwa mwaka na kuendelea kulingana na ukubwa wa eneo unalotaka kutoa huduma. Hata kama ukipata wateja 2 wakikukamata unauza bila vibali unajumuishwa na wahujumu uchumi.
All the best.
Kuhusu leseni mamlaka husika nitazitembelea ondoa shakaTCRA wanataka upate leseni, application fee ya leseni ni 150k, leseni ni kama 450k hivi kwa mwaka na kuendelea kulingana na ukubwa wa eneo unalotaka kutoa huduma. Hata kama ukipata wateja 2 wakikukamata unauza bila vibali unajumuishwa na wahujumu uchumi.
All the best.
Upo mkoa gani ?nipo mkoa nataka ninunue ya Airtel wadau wawe wanachangia buku buku nione kama tutaishi
Unafanya hii mkuu?Mbona Mimi sikamatwi
All the best mkuu. Ni sheria tu hiyo nimewahi kuona mtu 1 tu amekamatwa arusha nadhani kuna watu walimchoma.Mbona Mimi sikamatwi
GeitaUpo mkoa gani ?
Ndio mkuuU
Unafanya hii mkuu?
Naona ni biashara nzuri!Utapiga ela japo matumiz utacontrol vp
Naomba utaratibu ukoje...nataka nitengeneze customer base yangu ya wateja hata kama 500 tu hivi inatoshaTCRA wanataka upate leseni, application fee ya leseni ni 150k, leseni ni kama 450k hivi kwa mwaka na kuendelea kulingana na ukubwa wa eneo unalotaka kutoa huduma. Hata kama ukipata wateja 2 wakikukamata unauza bila vibali unajumuishwa na wahujumu uchumi.
All the best.