Mkuu habari yako naweza kupata namba zako za simu nataka tuongee biashara nahitaji viungo tofauti kwa bei ya jumpaJamani Habari Zenu.
Nilikuwa nataka kupanua wigo wa Biashaya ya Viungo(Spices). Nina duka dogo Zanzibar ila nataka niongeze wigo wa biashara.
Kwanza ninamalizia website yetu,ambayo itakuwa na maelezo yote. Natarajia kupost kwenye baadhi ya Local Magazine pia..
Habari...nahitaji kufanya hii biashara...nnaweza kupata mamba zako plzJamani Habari Zenu.
Nilikuwa nataka kupanua wigo wa Biashaya ya Viungo(Spices). Nina duka dogo Zanzibar ila nataka niongeze wigo wa biashara.
Kwanza ninamalizia website yetu,ambayo itakuwa na maelezo yote. Natarajia kupost kwenye baadhi ya Local Magazine pia...
Sent using Jamii Forums mobile appJamani Habari Zenu.
Nilikuwa nataka kupanua wigo wa Biashaya ya Viungo(Spices). Nina duka dogo Zanzibar ila nataka niongeze wigo wa biashara...
Hi broo,Jamani Habari Zenu.
Nilikuwa nataka kupanua wigo wa Biashaya ya Viungo(Spices). Nina duka dogo Zanzibar ila nataka niongeze wigo wa biashara.
Kwanza ninamalizia website yetu,ambayo itakuwa na maelezo yote. Natarajia kupost kwenye baadhi ya Local Magazine pia.
Nilikuwa nataka Mawazo yenu kwa mikoa ya hapa Tanzania ambayo biashara hizi au viungo hivi vinasoko zuri. Hata kama nchi za Jirani pia sio mbaya maana sina Ideas kwa nje ya Znz
Viungo(Spices) ni kama zifuatazo:-
Cinnamon (Mdalasini)
Cumin (Uzile)
Ginger (Tangawizi)
Black pepper(Pilipili Manga)
Cardamon (Hiliki)
Lemons Grass (Mchaichai)
Cloves (Karafuu)
Vanilla (Vanila)
Nutmeg (Kungu Manga)
Turmeric (Bizari)
Coriander(Giligilani)
Fenugreek (uwatu)
Thyme(zahatari)
Spice Combination(Masala):-
Tea Masala
Fish/Meat Masala
Spices Gift Packs
-Oils Extracts
-Herbal Soaps
Na Je kuna Mikoa ambayo inalimazao lolote hapo juu kwa wingi.Na Idea ya kilo moja ni kiasu gani (Hii itanisaidia kama nitapata order kubwa,kujua wapi pa kuchukua)
Mbarikiwe
Naomba kuwasilisha,
Naomba mawasiliano yako plzUnauza jumla?
Mawasiliano yakoJamani Habari Zenu.
Nilikuwa nataka kupanua wigo wa Biashaya ya Viungo(Spices). Nina duka dogo Zanzibar ila nataka niongeze wigo wa biashara.
Kwanza ninamalizia website yetu,ambayo itakuwa na maelezo yote. Natarajia kupost kwenye baadhi ya Local Magazine pia.
Nilikuwa nataka Mawazo yenu kwa mikoa ya hapa Tanzania ambayo biashara hizi au viungo hivi vinasoko zuri. Hata kama nchi za Jirani pia sio mbaya maana sina Ideas kwa nje ya Znz
Viungo(Spices) ni kama zifuatazo:-
Cinnamon (Mdalasini)
Cumin (Uzile)
Ginger (Tangawizi)
Black pepper(Pilipili Manga)
Cardamon (Hiliki)
Lemons Grass (Mchaichai)
Cloves (Karafuu)
Vanilla (Vanila)
Nutmeg (Kungu Manga)
Turmeric (Bizari)
Coriander(Giligilani)
Fenugreek (uwatu)
Thyme(zahatari)
Spice Combination(Masala):-
Tea Masala
Fish/Meat Masala
Spices Gift Packs
-Oils Extracts
-Herbal Soaps
Na Je kuna Mikoa ambayo inalimazao lolote hapo juu kwa wingi.Na Idea ya kilo moja ni kiasu gani (Hii itanisaidia kama nitapata order kubwa,kujua wapi pa kuchukua)
Mbarikiwe
Naomba kuwasilisha,
Kupata viungo vyote ni pm na sources za kutoka shamba kabisa na mzigo wa kuaminika kutoka Morogoro,tanga,zanzibar,kagera,na sehemu nyingine kama unahitaji nicheki huku 0745244902Mkuu habari yako naweza kupata namba zako za simu nataka tuongee biashara nahitaji viungo tofauti kwa bei ya jumpa
Up Kama utahitaji viungo zaidi ni pm au nicheki kwa 0745244902. Tuongee biashara mzigo upo kutoka sources za uhakika kutoka shamba kabisaNauza viungo vya pilau gram 100 kwenye package nzuri
Viungo ni fresh nasaga mwenyewe kabsa ni mchanganyiko wa hiliKi, mdalasini, binzari nyembamba, na giligilan View attachment 908847
Weka mawasiliano nduguHabari zenu wana Jf, napenda sana kufanya biashara ya viungo vya chai na vya chakula kama vile iliki, tangawizi, mdarasini nk ila changamoto nilionayo mpaka sana ni kujua ni maeneo gani vinalimwa kwa wingi ili niweze kwenda kufungasha moja kwa moja toka kwa wakulima .
Pia nakaribisha mtu atakae hitaji tushirikiane katika biashara hii.
Weka mawasiliano nduguHabari zenu wana Jf, napenda sana kufanya biashara ya viungo vya chai na vya chakula kama vile iliki, tangawizi, mdarasini nk ila changamoto nilionayo mpaka sana ni kujua ni maeneo gani vinalimwa kwa wingi ili niweze kwenda kufungasha moja kwa moja toka kwa wakulima .
Pia nakaribisha mtu atakae hitaji tushirikiane katika biashara hii.