Biashara ya Viungo (Spices)

Mkuu habari yako naweza kupata namba zako za simu nataka tuongee biashara nahitaji viungo tofauti kwa bei ya jumpa
 
Habari...nahitaji kufanya hii biashara...nnaweza kupata mamba zako plz
 
Hi broo,
Niko na utalaamu wa vanilla, tunalima na kuuza vanilla beans tupo bukoba kagera, pia Dar Es Salaam unaeza Pata mzigo. Vp unaweza kuhitaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na
Mawasiliano yako
 
Natafuta vanilla kavu kiasi chochote, Mwenye nazo anicheki 0679699729
 
Mkuu habari yako naweza kupata namba zako za simu nataka tuongee biashara nahitaji viungo tofauti kwa bei ya jumpa
Kupata viungo vyote ni pm na sources za kutoka shamba kabisa na mzigo wa kuaminika kutoka Morogoro,tanga,zanzibar,kagera,na sehemu nyingine kama unahitaji nicheki huku 0745244902
 
Nauza viungo vya pilau gram 100 kwenye package nzuri
Viungo ni fresh nasaga mwenyewe kabsa ni mchanganyiko wa hiliKi, mdalasini, binzari nyembamba, na giligilan View attachment 908847
Up Kama utahitaji viungo zaidi ni pm au nicheki kwa 0745244902. Tuongee biashara mzigo upo kutoka sources za uhakika kutoka shamba kabisa
 
Weka mawasiliano ndugu
 
Weka mawasiliano ndugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…