Biashara ya utumwa inaendelea Afrika

Biashara ya utumwa inaendelea Afrika

MLA PANYA SWANGA

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2015
Posts
5,186
Reaction score
5,454
Huwezi kuamini lakini ukweli utatuweka huru. Jumuiya ya afrika mashariki inajua. Jumiya ya kusini mwa Afrika sadc wanatambua.
Asilimia kubwa ya watu wanaouzwa ni watu kutoka somalia na mataifa mengine machache mfano watusi na wahutu.
Kwa sasa msomali popote alipo anasakwa ni bidhaa. Maaskari wetu wa ulinzi wanajua wanavyopiga pesa kupitia wasomali wanaopita njia za panya kuelekea afrika ya kusini ili kwenda ulaya kuishi.

Ukiwakuta wasomali wamefichama porini hata watatu basi hukosi pesa kuanzia milioni kupitia watu hao ili wasonge mbele na safari. Mchezo huu wanaujua wengi.
Biashara ya kuuza watu afrika sasa imeshamiri kwa mfumo mwingine.
Wanasafirishwa kama bidhaa toka Kenya, arusha mpaka Mbeya kwa kupangwa kama magunia ktk fuso huku gari hizo zikiwa na pass ya usafirishaji wa magodoro na mbinu nyinginezo.
Wanaojua biashara hii inavyofanyika ongezeeni nyama maana wanakufa sana wawapo safarini.
Tuwe na huruma hakuna anayependa kukosa amani.
 
USALAMA WA TAIFA wanalijua hili na wao ndiyo maagent wakuu wa upitishaji na usafirishaji wa wasomali.
 
Huwezi kuamini lakini ukweli utatuweka huru. Jumuiya ya afrika mashariki inajua. Jumiya ya kusini mwa Afrika sadc wanatambua.
Asilimia kubwa ya watu wanaouzwa ni watu kutoka somalia na mataifa mengine machache mfano watusi na wahutu.
Kwa sasa msomali popote alipo anasakwa ni bidhaa. Maaskari wetu wa ulinzi wanajua wanavyopiga pesa kupitia wasomali wanaopita njia za panya kuelekea afrika ya kusini ili kwenda ulaya kuishi.

Ukiwakuta wasomali wamefichama porini hata watatu basi hukosi pesa kuanzia milioni kupitia watu hao ili wasonge mbele na safari. Mchezo huu wanaujua wengi.
Biashara ya kuuza watu afrika sasa imeshamiri kwa mfumo mwingine.
Wanasafirishwa kama bidhaa toka Kenya, arusha mpaka Mbeya kwa kupangwa kama magunia ktk fuso huku gari hizo zikiwa na pass ya usafirishaji wa magodoro na mbinu nyinginezo.
Wanaojua biashara hii inavyofanyika ongezeeni nyama maana wanakufa sana wawapo safarini.
Tuwe na huruma hakuna anayependa kukosa amani.
Umejuaje?
 
Wanadai biashara ya utumwa kwa sasa ni kubwa kuliko zama zozote duniani.
80% ya wanauzwa utumwani ni wanawake na 20% ni wanaume.
50% ni wasichana chini ya miaka 15.
Za zaidi ya 75% huuzwa kwa ajili ya kufanyishwa ngono wakati 20% huuza kwa ajili ya kazi ngumu kama mashambani na nyingine.
5% huuzwa kwa ajili ya uvunaji wa viungo vya binadamu.
Msicha mmoja mtumwa wa ngono, anaweza nunuliwa kwa 10,000$ kama ni mrembo na ndani ya week akarudisha hiyo ela kwa mmiliki.
Inakadiliwa ya kwamba msichana mmoja hutengeneza zaidi ya 250,000$ kwa mwaka na bado mmiliki anaweza tena kumuuza kwa bei zaidi aliyomlipia kwakuwa anakuwa asha mtrain.
Nchi ambapo kuna soko kubwa la watumwa wa ngono ni USA, Belgium, Thailand n.k
Huko Afghanistan, Taliban ununua watoto wadogo chini ya miaka 8 na kuwatumia kwa ajili ya kujitoa mhanga.
Mtoto mmoja anaweza nunuliwa kuanzia 7000$ mpska 14,000$ ambapo wengine huwatumia kama wanajeshi au ngao katika mapigano.
 
Huku ni kuuza au rushwa ?
Ni biashara kwa sababu ikitokea mtu unayetaka umpe hao watu akawa na dau dogo unatafuta mwingine wa dau kubwa. Sasa hadi hapo siyo biashara bado ni rushwa mkuu.
Wengine wana kufa wakiwa safarini. Hizo fuso zikitokea arusha zikiwatua Mbeya yale magodoro huuzwa bei ya kutupwa mno.
 
Ni biashara kwa sababu ikitokea mtu unayetaka umpe hao watu akawa na dau dogo unatafuta mwingine wa dau kubwa. Sasa hadi hapo siyo biashara bado ni rushwa mkuu.
Wengine wana kufa wakiwa safarini. Hizo fuso zikitokea arusha zikiwatua Mbeya yale magodoro huuzwa bei ya kutupwa mno.
Hawauzi watu bali wanatoa Huduma haramu na kutoa rushwa. Si kufanya biashara ya kuuza binadamu bali kusafirisha binadamu.
 
Hawauzi watu bali wanatoa Huduma haramu na kutoa rushwa. Si kufanya biashara ya kuuza binadamu bali kusafirisha binadamu.
Huko Libya wanauzwa, hasa ambao wamekosa pesa ya kuwalipa wasafirishaji wa binadamu kwenda nchi za Ulaya.
 
Nashukuru kwa ufafanuzi but are related to slave Trade.
Hivi unajua maana ya slave trade? Ukisema mabinti wanaopelekwa uarabuni ni slave trade naweza kukubali ila hii ya kuzamia, nasema big no! Kwa vile anayetoa hela ni mzamiaji (mhabeshi, msomali n.k.). Utumwa mtu anauzwa kama unavyouza ng'ombe kwa ajili ya kwenda kwa mnunuaji akamfanyie kazi kwa malipo kiduchu au bure.
 
Huko Libya wanauzwa, hasa ambao wamekosa pesa ya kuwalipa wasafirishaji wa binadamu kwenda nchi za Ulaya.
Hapo si utumwa bali ni njia ya kulipa deni. Ni sawa na mtu unamdai anasema sina hela, unaamua kumpa kipande cha kulima ili akikimaliza na deni linaisha. Hiyo si utumwa, je, unataka ule cha mtu bila kulipa? Ni sawa na msichana unamtumia nauli akija unamgegeda. Akikwambia natumia unasema rejesha fedha zangu
 
Hapo si utumwa bali ni njia ya kulipa deni. Ni sawa na mtu unamdai anasema sina hela, unaamua kumpa kipande cha kulima ili akikimaliza na deni linaisha. Hiyo si utumwa, je, unataka ule cha mtu bila kulipa? Ni sawa na msichana unamtumia nauli akija unamgegeda. Akikwambia natumia unasema rejesha fedha zangu
Hivi unajua maana ya utumwa mkuu?
Soma hata utumwa wa zamani baadhi ya watu walijikuta ni watumwa kwasababu ya madeni, walishindwa kulipa wakauzwa kwenye utumwa.
Kajihabarishe zaidi kuhusu maana ya utumwa inaelekea unavyofikiri ndivyo sivyo
 
Hapo si utumwa bali ni njia ya kulipa deni. Ni sawa na mtu unamdai anasema sina hela, unaamua kumpa kipande cha kulima ili akikimaliza na deni linaisha. Hiyo si utumwa, je, unataka ule cha mtu bila kulipa? Ni sawa na msichana unamtumia nauli akija unamgegeda. Akikwambia natumia unasema rejesha fedha zangu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hivi unajua maana ya utumwa mkuu?
Soma hata utumwa wa zamani baadhi ya watu walijikuta ni watumwa kwasababu ya madeni, walishindwa kulipa wakauzwa kwenye utumwa.
Kajihabarishe zaidi kuhusu maana ya utumwa inaelekea unavyofikiri ndivyo sivyo
Umenena wewe
 
Back
Top Bottom