Biashara ya utumwa inaendelea Afrika

Biashara ya utumwa inaendelea Afrika

Hawauzi watu bali wanatoa Huduma haramu na kutoa rushwa. Si kufanya biashara ya kuuza binadamu bali kusafirisha binadamu.
Kuna wanaouzwa mkuu na wanabakishwa mijini huku, unaenda mahali unaletewa malaya mweupe haelewi hata kiingereza anaongea lugha za ajabu ajabu huku anatafsiriwa na alokuunganisha, but in the end unagundua hana uhuru fulani na hana passport wala hana lolote na uzuri wake.....kama hajauzwa hapo anakuwa kafanywaje?
 
Kuna wanaouzwa mkuu na wanabakishwa mijini huku, unaenda mahali unaletewa malaya mweupe haelewi hata kiingereza anaongea lugha za ajabu ajabu huku anatafsiriwa na alokuunganisha, but in the end unagundua hana uhuru fulani na hana passport wala hana lolote na uzuri wake.....kama hajauzwa hapo anakuwa kafanywaje?
Na ukirudi hilo eneo kesho yake huwakuti
 
Huwezi kuamini lakini ukweli utatuweka huru. Jumuiya ya afrika mashariki inajua. Jumiya ya kusini mwa Afrika sadc wanatambua.
Asilimia kubwa ya watu wanaouzwa ni watu kutoka somalia na mataifa mengine machache mfano watusi na wahutu.
Kwa sasa msomali popote alipo anasakwa ni bidhaa. Maaskari wetu wa ulinzi wanajua wanavyopiga pesa kupitia wasomali wanaopita njia za panya kuelekea afrika ya kusini ili kwenda ulaya kuishi.

Ukiwakuta wasomali wamefichama porini hata watatu basi hukosi pesa kuanzia milioni kupitia watu hao ili wasonge mbele na safari. Mchezo huu wanaujua wengi.
Biashara ya kuuza watu afrika sasa imeshamiri kwa mfumo mwingine.
Wanasafirishwa kama bidhaa toka Kenya, arusha mpaka Mbeya kwa kupangwa kama magunia ktk fuso huku gari hizo zikiwa na pass ya usafirishaji wa magodoro na mbinu nyinginezo.
Wanaojua biashara hii inavyofanyika ongezeeni nyama maana wanakufa sana wawapo safarini.
Tuwe na huruma hakuna anayependa kukosa amani.

Hata Arusha kuna Madiwani walinunuliwa, na wengine bado wananunuliwa na CCM kila uchao
 
Huwezi kuamini lakini ukweli utatuweka huru. Jumuiya ya afrika mashariki inajua. Jumiya ya kusini mwa Afrika sadc wanatambua.
Asilimia kubwa ya watu wanaouzwa ni watu kutoka somalia na mataifa mengine machache mfano watusi na wahutu.
Kwa sasa msomali popote alipo anasakwa ni bidhaa. Maaskari wetu wa ulinzi wanajua wanavyopiga pesa kupitia wasomali wanaopita njia za panya kuelekea afrika ya kusini ili kwenda ulaya kuishi.

Ukiwakuta wasomali wamefichama porini hata watatu basi hukosi pesa kuanzia milioni kupitia watu hao ili wasonge mbele na safari. Mchezo huu wanaujua wengi.
Biashara ya kuuza watu afrika sasa imeshamiri kwa mfumo mwingine.
Wanasafirishwa kama bidhaa toka Kenya, arusha mpaka Mbeya kwa kupangwa kama magunia ktk fuso huku gari hizo zikiwa na pass ya usafirishaji wa magodoro na mbinu nyinginezo.
Wanaojua biashara hii inavyofanyika ongezeeni nyama maana wanakufa sana wawapo safarini.
Tuwe na huruma hakuna anayependa kukosa amani.
mkuu, una utani na mnyeti, polepole, na ngosha
 
Huwezi kuamini lakini ukweli utatuweka huru. Jumuiya ya afrika mashariki inajua. Jumiya ya kusini mwa Afrika sadc wanatambua.
Asilimia kubwa ya watu wanaouzwa ni watu kutoka somalia na mataifa mengine machache mfano watusi na wahutu.
Kwa sasa msomali popote alipo anasakwa ni bidhaa. Maaskari wetu wa ulinzi wanajua wanavyopiga pesa kupitia wasomali wanaopita njia za panya kuelekea afrika ya kusini ili kwenda ulaya kuishi.

Ukiwakuta wasomali wamefichama porini hata watatu basi hukosi pesa kuanzia milioni kupitia watu hao ili wasonge mbele na safari. Mchezo huu wanaujua wengi.
Biashara ya kuuza watu afrika sasa imeshamiri kwa mfumo mwingine.
Wanasafirishwa kama bidhaa toka Kenya, arusha mpaka Mbeya kwa kupangwa kama magunia ktk fuso huku gari hizo zikiwa na pass ya usafirishaji wa magodoro na mbinu nyinginezo.
Wanaojua biashara hii inavyofanyika ongezeeni nyama maana wanakufa sana wawapo safarini.
Tuwe na huruma hakuna anayependa kukosa amani.
Kwa yanayoendelea sasa kwenye Wigo wa Siasa ni wazi kua hii Biashara ilipoa tu, haikuisha kabisa
 
Back
Top Bottom