MLA PANYA SWANGA
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 5,186
- 5,454
- Thread starter
- #21
Kwa hiyo kila anayeishi mjini anaishi kwenye nyumba ya umeme eeeh!. Usigeneralize mambo.Kwa hiyo kila anayeishi majiji hayo anajua? Au kuna kitu cha ziada hapo?
Kwa hiyo kila anayeishi mjini anaishi kwenye nyumba ya umeme eeeh!. Usigeneralize mambo.Kwa hiyo kila anayeishi majiji hayo anajua? Au kuna kitu cha ziada hapo?
HayaKwa hiyo kila anayeishi mjini anaishi kwenye nyumba ya umeme eeeh!. Usigeneralize mambo.
Hii ni Kweli chungu mkuu....Hasa mademu wazuri wanauzika mno.
Kuna wanaouzwa mkuu na wanabakishwa mijini huku, unaenda mahali unaletewa malaya mweupe haelewi hata kiingereza anaongea lugha za ajabu ajabu huku anatafsiriwa na alokuunganisha, but in the end unagundua hana uhuru fulani na hana passport wala hana lolote na uzuri wake.....kama hajauzwa hapo anakuwa kafanywaje?Hawauzi watu bali wanatoa Huduma haramu na kutoa rushwa. Si kufanya biashara ya kuuza binadamu bali kusafirisha binadamu.
Na ukirudi hilo eneo kesho yake huwakutiKuna wanaouzwa mkuu na wanabakishwa mijini huku, unaenda mahali unaletewa malaya mweupe haelewi hata kiingereza anaongea lugha za ajabu ajabu huku anatafsiriwa na alokuunganisha, but in the end unagundua hana uhuru fulani na hana passport wala hana lolote na uzuri wake.....kama hajauzwa hapo anakuwa kafanywaje?
Shekh ulikuwa hujui hilo?!Mhuuu, hatari hadi usalama wa taifa.
Huwezi kuamini lakini ukweli utatuweka huru. Jumuiya ya afrika mashariki inajua. Jumiya ya kusini mwa Afrika sadc wanatambua.
Asilimia kubwa ya watu wanaouzwa ni watu kutoka somalia na mataifa mengine machache mfano watusi na wahutu.
Kwa sasa msomali popote alipo anasakwa ni bidhaa. Maaskari wetu wa ulinzi wanajua wanavyopiga pesa kupitia wasomali wanaopita njia za panya kuelekea afrika ya kusini ili kwenda ulaya kuishi.
Ukiwakuta wasomali wamefichama porini hata watatu basi hukosi pesa kuanzia milioni kupitia watu hao ili wasonge mbele na safari. Mchezo huu wanaujua wengi.
Biashara ya kuuza watu afrika sasa imeshamiri kwa mfumo mwingine.
Wanasafirishwa kama bidhaa toka Kenya, arusha mpaka Mbeya kwa kupangwa kama magunia ktk fuso huku gari hizo zikiwa na pass ya usafirishaji wa magodoro na mbinu nyinginezo.
Wanaojua biashara hii inavyofanyika ongezeeni nyama maana wanakufa sana wawapo safarini.
Tuwe na huruma hakuna anayependa kukosa amani.
mkuu, una utani na mnyeti, polepole, na ngoshaHuwezi kuamini lakini ukweli utatuweka huru. Jumuiya ya afrika mashariki inajua. Jumiya ya kusini mwa Afrika sadc wanatambua.
Asilimia kubwa ya watu wanaouzwa ni watu kutoka somalia na mataifa mengine machache mfano watusi na wahutu.
Kwa sasa msomali popote alipo anasakwa ni bidhaa. Maaskari wetu wa ulinzi wanajua wanavyopiga pesa kupitia wasomali wanaopita njia za panya kuelekea afrika ya kusini ili kwenda ulaya kuishi.
Ukiwakuta wasomali wamefichama porini hata watatu basi hukosi pesa kuanzia milioni kupitia watu hao ili wasonge mbele na safari. Mchezo huu wanaujua wengi.
Biashara ya kuuza watu afrika sasa imeshamiri kwa mfumo mwingine.
Wanasafirishwa kama bidhaa toka Kenya, arusha mpaka Mbeya kwa kupangwa kama magunia ktk fuso huku gari hizo zikiwa na pass ya usafirishaji wa magodoro na mbinu nyinginezo.
Wanaojua biashara hii inavyofanyika ongezeeni nyama maana wanakufa sana wawapo safarini.
Tuwe na huruma hakuna anayependa kukosa amani.
Kwa yanayoendelea sasa kwenye Wigo wa Siasa ni wazi kua hii Biashara ilipoa tu, haikuisha kabisaHuwezi kuamini lakini ukweli utatuweka huru. Jumuiya ya afrika mashariki inajua. Jumiya ya kusini mwa Afrika sadc wanatambua.
Asilimia kubwa ya watu wanaouzwa ni watu kutoka somalia na mataifa mengine machache mfano watusi na wahutu.
Kwa sasa msomali popote alipo anasakwa ni bidhaa. Maaskari wetu wa ulinzi wanajua wanavyopiga pesa kupitia wasomali wanaopita njia za panya kuelekea afrika ya kusini ili kwenda ulaya kuishi.
Ukiwakuta wasomali wamefichama porini hata watatu basi hukosi pesa kuanzia milioni kupitia watu hao ili wasonge mbele na safari. Mchezo huu wanaujua wengi.
Biashara ya kuuza watu afrika sasa imeshamiri kwa mfumo mwingine.
Wanasafirishwa kama bidhaa toka Kenya, arusha mpaka Mbeya kwa kupangwa kama magunia ktk fuso huku gari hizo zikiwa na pass ya usafirishaji wa magodoro na mbinu nyinginezo.
Wanaojua biashara hii inavyofanyika ongezeeni nyama maana wanakufa sana wawapo safarini.
Tuwe na huruma hakuna anayependa kukosa amani.
You made my day mkuu kituko.Hata Arusha kuna Madiwani walinunuliwa, na wengine bado wananunuliwa na CCM kila uchao