Biashara ya Uokaji (Bakery): Mbinu, Ushauri na Changamoto Zake

kuna jamaa anaitwa Thomas mikate,yeye yupo DAR, anuaza mikate mingi sana kwa kutwa,ni rafiki yangu kwa uteja kwake.
-hana brand wala Duka la mikate yeye anauzia ktk gari lake,ni suzuki mini van,kadogo hivi rangi ya blue na pia anayo nyeusi,huwa anapaki station opposite TRA offices ,jioni na pia huwa anakuwa maeneo ya posta karibu na CRDB holland house or ifm area.

mwaka 2009 aliniambia kuwa anapata daily profit ya 140,000. na kuwa mikate yake huwa haibaki.jaribu kumtafuta atakushauri ni mtu muelewa,ila hapendi watu wa TRA(kodi etc)walishawahi kumsumbua ndio maana hana BRAND ya mikate yake,

inasadikika kuwa bakressa wa Azam huwa ananunua mikate yake kwa matumizi yake na wajukuu zake.
Raha ya biashara ni kufanya biashara halali,lakini biashara kama ya huyu bwana haina tofauti na ya wamachinga ya kiwizi wizi, kila siku utakuwa unatizama nyuma, nani ananifuata TRA, CITY, BWANA AFYA au Polisi. Watu wanasema kama hutaki kuota usilale - wewe kama ni mtu wa kutopenda matatizo ushauri wa huyo jamaa hautokufaa. Kikubwa mafanikio ya biashara yako ni kupata vifaa vizuri, mpishi mzuri,Packing inayovutia, usafi wa sehemu yako ya kufanya kazi na kuweka uangalizi mzuri maana wengi wenye bakery wanalia na wizi unaofanywa na wafanyanyakazi wa vitu kama Sukari, Unga, Mafuta na mara nyingine hata wanacheza na uzito wa mkate itoke mingi wauze inayozidi pesa wachukue wao.
 
kuna jamaa anaitwa Thomas mikate,yeye yupo DAR, anuaza mikate mingi sana kwa kutwa,ni rafiki yangu kwa uteja kwake.
-hana brand wala Duka la mikate yeye anauzia ktk gari lake,ni suzuki mini van,kadogo hivi rangi ya blue na pia anayo nyeusi,huwa anapaki station opposite TRA offices ,jioni na pia huwa anakuwa maeneo ya posta karibu na CRDB holland house or ifm area.

mwaka 2009 aliniambia kuwa anapata daily profit ya 140,000. na kuwa mikate yake huwa haibaki.jaribu kumtafuta atakushauri ni mtu muelewa,ila hapendi watu wa TRA(kodi etc)walishawahi kumsumbua ndio maana hana BRAND ya mikate yake,

inasadikika kuwa bakressa wa Azam huwa ananunua mikate yake kwa matumizi yake na wajukuu zake.
newmzalendo naomba nisaidie namna ya kumpata huyo jamaa.
 
Last edited by a moderator:
Naomba ushauri ;

Tuna kikundi chetu cha kina mama na tunataka kuanzisha project ya bakery, Please naomba ushauri ya makadirio ya gharama ya kuanzia,Kama inawezekana orodha ya vifaa vinavyoitajika ili kutuwezesha kuanza project yetu
Natanguliza shukrani.

NGOJA WAJE watuchambulie nami nidonoe
 
Piga tu kazi mkuu kuna bakery moja mitaa ya ununio jamaa amefungua pale pako very silent lakini anafanya biashara nzuri sana japo yeye mpk chapati vitumbua sambusa keki mikate na kahawa/chai take away anauza kwako wewe jitahidi kwenye products zako ziwe nzuri utapata wateja tu na kwa sinza mzungumko wa watu ni mkubwa ukipata connection ya maduka ya mwenge sinza yenyewe na kijitonyma kabla hujasambaa tandale na manzese. kazana tu kiongozi ila jitahidi kuzingatia uwepo wako uone kile kinachotakiwa upate kuyadhibiti mapungufu, jitahidi pia kuzungumza na wengine walio tayari kwenye hiyo biashara watakusaidia njia sahihi kufanikisha lengo lako.
kila la kheri kwako.
 
Salaams JF,

Nilipata wazo la kuanzisha bakery maeneo ya sinza. Products ni ; Mikate, Maandazi na cakes aina mbalimbali. Sikuomba au kutafuta ushauri kwa mtu yeyote. Pia sijafanya research ya uhakika kuhusu mahitaji halisi ya hizo bidhaa ninazotaka kuingiza sokoni. Pia sijafanya utafiti kuhusu ushindani wa hii biashara. Nimeamua kuchukua RISK 100% katika kuwekeza huko kwenye bakery. Kwahiyo bado sijaelewa / sijajua kama nipo njia sahihi au nimekosea. Naomba ushauri na uelewa wenu kwenu hii biashara.

Hadi sasa nimefanikiwa kupata vitu vifuatavyo;
- Machines- 3 Ovens ( moja kubwa inaingiza paltes 6 na nyingine mbili ni ndogo zinaingiza plates 2 kila moja); 1 Mixer aina ya B30; Shelf; 30 Oven Plates,
-Nimepanga Jengo na kulifanyia ukarabati kulingana na mahitaji ya kazi.
-Nimesajili jina la biashara
-Nimeshapata na TIN
-Nimeshapata leseni

Vitu vinavyohitajika kwa sasa ni;
-Connecting service line ( electricity) kwenye jengo ambalo nimeshafanya wiring
-TFDA authorization
-Source of more finance
-Hard working, knowledgeable and skilled person ( Baker) ambaye ataweza kutengeneza bidhaa mbalimbali
-Bread slicer
-Manager and cashier
-Marketing and sales person
-Distributor

Je mnaonaje wakuu? Je nipo sahihi? Nawakilisha

===========
SIMILAR CASES:
===========
Jan 19, 2012:


Ni move nzuri..ila Fanya research ya Soko. Usiwekeze mtaji ukakosa wateja. Ila jitahidi ku brand bidhaa zako. Zikiwa bora watakufuata tu. All the best
 
Salaams JF,

Nilipata wazo la kuanzisha bakery maeneo ya sinza. Products ni ; Mikate, Maandazi na cakes aina mbalimbali. Sikuomba au kutafuta ushauri kwa mtu yeyote. Pia sijafanya research ya uhakika kuhusu mahitaji halisi ya hizo bidhaa ninazotaka kuingiza sokoni. Pia sijafanya utafiti kuhusu ushindani wa hii biashara. Nimeamua kuchukua RISK 100% katika kuwekeza huko kwenye bakery. Kwahiyo bado sijaelewa / sijajua kama nipo njia sahihi au nimekosea. Naomba ushauri na uelewa wenu kwenu hii biashara.

Hadi sasa nimefanikiwa kupata vitu vifuatavyo;
- Machines- 3 Ovens ( moja kubwa inaingiza paltes 6 na nyingine mbili ni ndogo zinaingiza plates 2 kila moja); 1 Mixer aina ya B30; Shelf; 30 Oven Plates,
-Nimepanga Jengo na kulifanyia ukarabati kulingana na mahitaji ya kazi.
-Nimesajili jina la biashara
-Nimeshapata na TIN
-Nimeshapata leseni

Vitu vinavyohitajika kwa sasa ni;
-Connecting service line ( electricity) kwenye jengo ambalo nimeshafanya wiring
-TFDA authorization
-Source of more finance
-Hard working, knowledgeable and skilled person ( Baker) ambaye ataweza kutengeneza bidhaa mbalimbali
-Bread slicer
-Manager and cashier
-Marketing and sales person
-Distributor

Je mnaonaje wakuu? Je nipo sahihi? Nawakilisha

===========
SIMILAR CASES:
===========
Jan 19, 2012:

Kuhusu mfanyakazi mwenye uzoefu nenda bakery inayofanya vzuri kisha mchukue kwa kupandisha salary. Kimya kimya
 
Mkuu Short White salaam,

Vipi waendeleaje na mchakato wa biashara yako ya bakery? Nimesoma thread yako kwa umakini sana na nimefurahishwa na jinsi wachangiaji walivyotoa ushauri wao mzuri sana sana. Hili jambo nami liko kichwani japo sijachukua hatua za kuanza maana majukumu yaningilia mambo.

Hakika ukifanikiwa hutajutia maana nina AUNT yake na rafiki yangu alianzisha bakery mjini hapa 2011 na sasa na supplier mkubwa na anapata vyombo sana. Ila ukiweza (imani yangu ulishaanza maana naona andiko ni la 2011) basi waweza boresha kwa kuongeza viuongo vyenye kutia ladha kama IRIKI na vile vile walau ujitahidi uweke na maziwa. Huo mkate nakuhakikishia walaji watakutafuta. Pale Kunduchi jirani na Chuo cha Kijeshi kuna jamaa kafungua pale nilifurahishwa sana na jinsi alivyojipanga. Ana-make sana yule jamaa.

Tukuombe tu utupe uzoefu na changamoto unazokumbana nazo mkuu.

Aksante
 
Hongera sana mkuu,. Hivyo vifaa vimekugharimu kiasi gani cha pesa. Na kwa gharama kwa jumla mpaka unamaliza umetenga kiasi gani?
 
yaani hakuna biashara inayolipa kama bakery hapa jirani yangu jamaa amefungua bakery na awali magari ya bakery yalikua yanagongana hapa sio chini ya manne yanasupply brands zao, tukasema huyu jamaa atapata hasara sababu hii biashara inaonekana kama ina ushindani sana lakini huwezi amini jamaa anapiga kazi mpaka usiku yaani hakuna mchana wala usiku kwake na bado hawezi kulitosheleza soko.
 
Nnataka nianze biashara ya kutengeneza vitafunwa vya kuoka lakn sina vifungashio.Msaada wenu na ushaur tafadhal.Mfano wa vitafunwa ni kama hyo pcha chini
d9a0f03ae57846e8fd054a1265ae3257.jpg
 
Hapo inabid utoe specification kwamba unataka vofungashio vya namna gan plastic or karatas itakuwa vizur tukianzia hapa
 
Hapa kuna vitu vichache vya kuzingatia ili ujue utatumia vifungashio gani.

Una target wateja wa aina gani na hizo bidhaa bei zako umezipangaje? Nakuuliza hivyo kwa sababu kama unatarget mabosi wao wanaexpect packaging ya kueleweka na mara nyingi hawana tatizo na bei lakini kama una target walalahoi wao wapo very price sensitive hadi haelewi thamani ya packaging. Kama una target walalahoi kuna mifuko ya khaki inauzwa kariakoo inakuwa 50 au 100 not sure, watu wengi wenye bakery wanaitumia.
 
Back
Top Bottom