Biashara ya Ukahaba: Serikali inapoteza Mapato mengi

Biashara ya Ukahaba: Serikali inapoteza Mapato mengi

mi nafikiri hata na bangi ingehalalishwa kwasababu sigara inayoua zaidi ni halali...kilimo cha bangi kingesaidia japo kidogo kuongeza ajira na mapato kwa vijana maana ile nasikia ni sehemu chache sana inakataa kuota.
 
Wakuu niende tu moja kwa moja kwenye point, kwanza kabisa binafsi naamini serikali yetu inapoteza mapato mengi sana!

Naamini huu ni wakati wa serikali kuharalisha hii biashara na iwe biashara harali kabisa na wanaoifanya walipe kodi. Biashara ya hawa wadada wanaojiuza, juzi kati nilipita mitaa ya Sinza usiku, Dah! Sikuamini kabisa nilichokiona kutokana na wingi wa wadada hao

Sasa nikafikiria hivi;

Kama bei yao nasikia ni Tsh. 10,000/=fasta fasta, Je iwapo kila Dada anao uwezo wa kupata kimo cha Tsh 30,000/= kwa siku, ambapo ni vichwa vitatu, kwa mwezi itakuwa ni 30,000 x 30 = 900,000/=

Je, akilipa kwa siku Tsh 5,000/= kama kodi kwa serikali, kwa mwezi itakuwa ni Tsh 5,000 x 30 = Tsh 150,000/=

Je, wakiwa wadada 500, Serikali itapata kodi kiasi gani? Itakuwa ni Tsh 150,000/= x 500 = Tsh 75,000,000/= kwa mwezi..

Maswali ya kujiuliza hapa ni;

1: Je, kwa mwaka serikali itapata kodi kiasi gani?

2: Je, ni kweli kwamba hao wadada wapo 500 ama ni zaidi ya hiyo namba?

Serikali ingezibiti tu kuwa kila mdada ahakikishe kila mwezi analeta vyeti vyake vya Afya kutoka katika moja ya kituo cha Afya kilichotengwa maalum kwa ajili yao. Na iwapo utagundulika kuwa umeathirika halafu bado ukawa unafanya biashara, basi adhabu yako ni moja tu, KUNYONGWA hadi kufa.

Kwa kila eneo iwepo ofisi ya kudhibiti maswala ya Afya pamoja na kodi yetu!

Ama wakuu nyie mnafikiriaje?

kama una dada zako uliozaliwa nao tumbo moja,i mean blood sisters,anza na wao,fanya majaribio kwao uone wataingiza kiasi gani hadi mwisho wa mwaka huu ili uweze kuja na takwimu sahihi ya mapato ili na mimi nitumie nafasi yangu kuishauri serikali kukubaliana na wazo lako.


nb:njoo na data kamili mkuu kutoka kwa dada zako
 
Kodi ya paye ni 30% kwahiyo ni 9000 kwa siku that means ni 270k per month ukizidisha mara 500 unapata 135 millions kwa mwezi;ukizidisha mara 12 unapata 1.62billions kwa mwaka. Unaweza ukaandika proposal serikalini kuchukua tenda ya kuwachaji makahaba kwa kuwalipa serikali 1b hiyo 620m unapiga wewe.
 
Kodi ya paye ni 30% kwahiyo ni 9000 kwa siku that means ni 270k per month ukizidisha mara 500 unapata 135 millions kwa mwezi;ukizidisha mara 12 unapata 1.62billions kwa mwaka. Unaweza ukaandika proposal serikalini kuchukua tenda ya kuwachaji makahaba kwa kuwalipa serikali 1b hiyo 620m unapiga wewe.
 
Mi nafikiria ukahaba uendelee na ukimwi ueendelee pia.Kutokana na ukosefu wa ajira vifo vya waathirika ni fursa za ajira kwa wengine.
 
Kozo Okamoto

Mkuu taratibu, huna haja ya kumshambulia mleta mada, ni wazo tu ametoa maana hiyo biashara ipo na inazidi kushamiri na kupata umaarufu. Hivi mkuu unajua kuna nchi makahaba wanalipa kodi?Kama sigara na pombe wanachukua kodi, kwa nini na huko wasichukue? Kama utasema maadili yatakiukwa kwa makahaba kulipa kodi, hata sigara na pombe bado ni chukizo tu.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu niende tu moja kwa moja kwenye point, kwanza kabisa binafsi naamini serikali yetu inapoteza mapato mengi sana!

Naamini huu ni wakati wa serikali kuharalisha hii biashara na iwe biashara harali kabisa na wanaoifanya walipe kodi. Biashara ya hawa wadada wanaojiuza, juzi kati nilipita mitaa ya Sinza usiku, Dah! Sikuamini kabisa nilichokiona kutokana na wingi wa wadada hao

Sasa nikafikiria hivi;

Kama bei yao nasikia ni Tsh. 10,000/=fasta fasta, Je iwapo kila Dada anao uwezo wa kupata kimo cha Tsh 30,000/= kwa siku, ambapo ni vichwa vitatu, kwa mwezi itakuwa ni 30,000 x 30 = 900,000/=

Je, akilipa kwa siku Tsh 5,000/= kama kodi kwa serikali, kwa mwezi itakuwa ni Tsh 5,000 x 30 = Tsh 150,000/=

Je, wakiwa wadada 500, Serikali itapata kodi kiasi gani? Itakuwa ni Tsh 150,000/= x 500 = Tsh 75,000,000/= kwa mwezi..

Maswali ya kujiuliza hapa ni;

1: Je, kwa mwaka serikali itapata kodi kiasi gani?

2: Je, ni kweli kwamba hao wadada wapo 500 ama ni zaidi ya hiyo namba?

Serikali ingezibiti tu kuwa kila mdada ahakikishe kila mwezi analeta vyeti vyake vya Afya kutoka katika moja ya kituo cha Afya kilichotengwa maalum kwa ajili yao. Na iwapo utagundulika kuwa umeathirika halafu bado ukawa unafanya biashara, basi adhabu yako ni moja tu, KUNYONGWA hadi kufa.

Kwa kila eneo iwepo ofisi ya kudhibiti maswala ya Afya pamoja na kodi yetu!

Ama wakuu nyie mnafikiriaje?
unaoneje wakiruhusu halafu dada zako na mabinti zako ndio wakawa wa kwanza kwenda kwenye biashara hiyo? utajisikiaje?
 
Kodi ya paye ni 30% kwahiyo ni 9000 kwa siku that means ni 270k per month ukizidisha mara 500 unapata 135 millions kwa mwezi;ukizidisha mara 12 unapata 1.62billions kwa mwaka. Unaweza ukaandika proposal serikalini kuchukua tenda ya kuwachaji makahaba kwa kuwalipa serikali 1b hiyo 620m unapiga wewe.

Hela hiyo inatosha kabisa kutoa elimu bure kwa elimu ua msingi, ngoja nitengeneze proposal
 
Kwa jinsi mifumo ya kodi ya nchi hii ilivyo ni vigumu sana kwa watunga sera kuuona upande huo japo nao ni wateja wazuri sana. Nijuavyo mimi hakuna mapato ya raia yeyote yasiyotozwa kodi. Ni kwanini tra wasiangalie kundi hilo wakali-mobilize pamoja na machinga wanaotembeza bidhaa mitaani ili watozwe kodi ya mapato? Au serikali imerithika kuwa ombaomba? Nchi ya ajabu sana hii isiyopenda pesa.
 
Dah hio hesabu.... Yaani eti mwanaume unapanga foleni unasubiria mwanaume mwenzio amalize kugegeda kisha nawewe ukaweke mgegedo wako,,,hii nimeishuhudia tandika kwa wahaya
 
Wakuu niende tu moja kwa moja kwenye point, kwanza kabisa binafsi naamini serikali yetu inapoteza mapato mengi sana!

Naamini huu ni wakati wa serikali kuharalisha hii biashara na iwe biashara harali kabisa na wanaoifanya walipe kodi. Biashara ya hawa wadada wanaojiuza, juzi kati nilipita mitaa ya Sinza usiku, Dah! Sikuamini kabisa nilichokiona kutokana na wingi wa wadada hao

Sasa nikafikiria hivi;

Kama bei yao nasikia ni Tsh. 10,000/=fasta fasta, Je iwapo kila Dada anao uwezo wa kupata kimo cha Tsh 30,000/= kwa siku, ambapo ni vichwa vitatu, kwa mwezi itakuwa ni 30,000 x 30 = 900,000/=

Je, akilipa kwa siku Tsh 5,000/= kama kodi kwa serikali, kwa mwezi itakuwa ni Tsh 5,000 x 30 = Tsh 150,000/=

Je, wakiwa wadada 500, Serikali itapata kodi kiasi gani? Itakuwa ni Tsh 150,000/= x 500 = Tsh 75,000,000/= kwa mwezi..

Maswali ya kujiuliza hapa ni;

1: Je, kwa mwaka serikali itapata kodi kiasi gani?

2: Je, ni kweli kwamba hao wadada wapo 500 ama ni zaidi ya hiyo namba?

Serikali ingezibiti tu kuwa kila mdada ahakikishe kila mwezi analeta vyeti vyake vya Afya kutoka katika moja ya kituo cha Afya kilichotengwa maalum kwa ajili yao. Na iwapo utagundulika kuwa umeathirika halafu bado ukawa unafanya biashara, basi adhabu yako ni moja tu, KUNYONGWA hadi kufa.

Kwa kila eneo iwepo ofisi ya kudhibiti maswala ya Afya pamoja na kodi yetu!

Ama wakuu nyie mnafikiriaje?
Harali = Halali

Kuharalisha = Kuhalalisha
 
Mleta uzi inaonekana ni miongoni mwa hao wanaoipotezea serikali mapato kwa kutolipa kodi ya pampu,ila muache hiyo biashara
 
Back
Top Bottom