Uchawi ni kazi inayofanyika kwa usiri mkubwa sana, endapo mchawi atatoa siri za wachawi wenzake adhabu yake huwa ni kifo. Ni vigumu sana kumtambua mchawi, licha ya baadhi ya makabila kuwashuku akina mama wazee wenye macho mekundu kuwa ndio wachawi, lakini ukweli siyo wachawi. Madhalani mkeo/mumeo anaweza akawa mchawi wa kutupwa lakini usiweze kumtambua kabisa.
Kawaida matayarisho ya kwenda kuwanga huanza jioni ya saa kumi na mbili hadi saa mbili usiku, kwa kuchoma ubani na kuomba dua, wachawi wanayo roho ya uchawi ndani yao, ambayo ikifika saa sita usiku, hiyo roho ya uchawi iliyo ndani yake humwamsha. Wachawi wanakuwa na madhabahu zao za kukutanikia usiku, kwa mfano wachawi wa Kariakoo wanayo madhabahu yao, wachawi wa Masaki wanayo madhabahu yao, Wachawi wa Mwananyamala madhabahu yao iko ndani ya hospitali ya Mwananyamala, ndiyo maana vitimbi ndani ya hospitali hiyo haviwezi kwisha bila ya kuivunja na kuisambaratisha hiyo madhabahu.
Mchawi anapoamka usiku wa manane huenda kwenye madhabahu yao, na kila madhabahu ina mwenyekiti na katibu wa kuandika taarifa za kikao. Kazi ya kikao ni kupokea mashitaka kutoka kwa wajumbe, kuyajadili na kuyafanyia maamuzi. Kwa mfano, mchawi anaweza kuleta shitaka kuwa jirani yake XYZ kila siku wanakaanga nyama na samaki, watoto wake wanasoma shule nzuri, na wanaringa sana. Hilo ni shitaka tosha la kujadiliwa kwenye madhabahu za wachawi.
Wachawi wakimaliza kumjadili ndungu XYZ, wanapanga adhabu ya kumwadabisha, adhabu inaweza kuwa, wamtupie mume jini afukuzwe kazi, au wampindishe mama miguu asiweze kutembea. Wakishachagua adhabu, huteua kamati ya utekelezaji ambayo, itahakikisha familia hiyo inaadhibiwa haraka iwezekanavyo. Idadi ya wajumbe inategemea ukubwa wa kazi, lakini mara nyingi huwa ni wachawi kati ya watatu hadi sita.
Wachawi huanza kazi ya ulozi nyumbani kwako, kwa kawaida muda wa kufanya ulozi ni kuanzia saa sita usiku hadi saa tisa usiku, kama siku hiyo hawakufanikiwa kuingia hadi saa tisa usiku, shughuli huairishwa hadi siku inayofuata, roho ya uchawi waliyo nayo huwafanya wachawi kupenya kwenye ukuta, kwa kupitia kwenye kona ya chumba. Wachawi wakikuta mtuhumiwa ni mcha Mungu mzuri huwa wanashindwa kumkaribia kwani mwili wake huwa unawaka moto, wakikuta familia yote haishikiki, basi kikao hungeuza adhabu kwenda kwa mfanyakazi wa ndani, biashara yako, au kwa ndungu zako wa karibu.
Wachawi wakikuta familia iko tupu, kazi ya ulozi huwa ni nyepesi sana, na matokeo yake huonekana mapema.
Uchawi ni kazi inayofanyika kwa usiri mkubwa sana, endapo mchawi atatoa siri za wachawi wenzake adhabu yake huwa ni kifo. Ni vigumu sana kumtambua mchawi, licha ya baadhi ya makabila kuwashuku akina mama wazee wenye macho mekundu kuwa ndio wachawi, lakini ukweli siyo wachawi. Madhalani mkeo/mumeo anaweza akawa mchawi wa kutupwa lakini usiweze kumtambua kabisa.
Kawaida matayarisho ya kwenda kuwanga huanza jioni ya saa kumi na mbili hadi saa mbili usiku, kwa kuchoma ubani na kuomba dua, wachawi wanayo roho ya uchawi ndani yao, ambayo ikifika saa sita usiku, hiyo roho ya uchawi iliyo ndani yake humwamsha. Wachawi wanakuwa na madhabahu zao za kukutanikia usiku, kwa mfano wachawi wa Kariakoo wanayo madhabahu yao, wachawi wa Masaki wanayo madhabahu yao, Wachawi wa Mwananyamala madhabahu yao iko ndani ya hospitali ya Mwananyamala, ndiyo maana vitimbi ndani ya hospitali hiyo haviwezi kwisha bila ya kuivunja na kuisambaratisha hiyo madhabahu.
Mchawi anapoamka usiku wa manane huenda kwenye madhabahu yao, na kila madhabahu ina mwenyekiti na katibu wa kuandika taarifa za kikao. Kazi ya kikao ni kupokea mashitaka kutoka kwa wajumbe, kuyajadili na kuyafanyia maamuzi. Kwa mfano, mchawi anaweza kuleta shitaka kuwa jirani yake XYZ kila siku wanakaanga nyama na samaki, watoto wake wanasoma shule nzuri, na wanaringa sana. Hilo ni shitaka tosha la kujadiliwa kwenye madhabahu za wachawi.
Wachawi wakimaliza kumjadili ndungu XYZ, wanapanga adhabu ya kumwadabisha, adhabu inaweza kuwa, wamtupie mume jini afukuzwe kazi, au wampindishe mama miguu asiweze kutembea. Wakishachagua adhabu, huteua kamati ya utekelezaji ambayo, itahakikisha familia hiyo inaadhibiwa haraka iwezekanavyo. Idadi ya wajumbe inategemea ukubwa wa kazi, lakini mara nyingi huwa ni wachawi kati ya watatu hadi sita.
Wachawi huanza kazi ya ulozi nyumbani kwako, kwa kawaida muda wa kufanya ulozi ni kuanzia saa sita usiku hadi saa tisa usiku, kama siku hiyo hawakufanikiwa kuingia hadi saa tisa usiku, shughuli huairishwa hadi siku inayofuata, roho ya uchawi waliyo nayo huwafanya wachawi kupenya kwenye ukuta, kwa kupitia kwenye kona ya chumba. Wachawi wakikuta mtuhumiwa ni mcha Mungu mzuri huwa wanashindwa kumkaribia kwani mwili wake huwa unawaka moto, wakikuta familia yote haishikiki, basi kikao hungeuza adhabu kwenda kwa mfanyakazi wa ndani, biashara yako, au kwa ndungu zako wa karibu.
Wachawi wakikuta familia iko tupu, kazi ya ulozi huwa ni nyepesi sana, na matokeo yake huonekana mapema.
Wachawi wakimaliza kumjadili ndungu XYZ, wanapanga adhabu ya kumwadabisha, adhabu inaweza kuwa, wamtupie mume jini afukuzwe kazi, au wampindishe mama miguu asiweze kutembea. Wakishachagua adhabu, huteua kamati ya utekelezaji ambayo, itahakikisha familia hiyo inaadhibiwa haraka iwezekanavyo. Idadi ya wajumbe inategemea ukubwa wa kazi, lakini mara nyingi huwa ni wachawi kati ya watatu hadi sita.
Wachawi huanza kazi ya ulozi nyumbani kwako, kwa kawaida muda wa kufanya ulozi ni kuanzia saa sita usiku hadi saa tisa usiku, kama siku hiyo hawakufanikiwa kuingia hadi saa tisa usiku, shughuli huairishwa hadi siku inayofuata, roho ya uchawi waliyo nayo huwafanya wachawi kupenya kwenye ukuta, kwa kupitia kwenye kona ya chumba. Wachawi wakikuta mtuhumiwa ni mcha Mungu mzuri huwa wanashindwa kumkaribia kwani mwili wake huwa unawaka moto, wakikuta familia yote haishikiki, basi kikao hungeuza adhabu kwenda kwa mfanyakazi wa ndani, biashara yako, au kwa ndungu zako wa karibu.
Wachawi wakikuta familia iko tupu, kazi ya ulozi huwa ni nyepesi sana, na matokeo yake huonekana mapema.
I had an experience once when my spirit confirmed to me the person whom I had contract with na akataka kunirusha na kushindwa siku ananipa hizo pesa zangu basi hazikuwa salama...something was telling me that its not all well..Then ikawa kama nawaza vile kwamba I am protected but my drivers who worked for the contract were not safe..So nika enda nakuwaeleza of course kama you are a non believer si rahisi uamini and one of my driver told me usijali mimi hawezi kunifanya jambo lolote. Atfter a less than a week the same driver akaanza kuugua akalazwa hospitali...things turned to be very bad kabla hajatoka mkewe akalazwa na baadaye mtoto wake mdogo..then hatuja kaa vizuri the other driver things were not going through yeye sikuile ninawaambia aliniangalia tu lakini nikamsoma kanielewa but anajua atakacho fanya siyo vile mm na mwambia..baada ya mwezi akaacha kazi naona akaona mmh mambo si mambo kwa shetani hayuko sawa sawa na kwa Mungu hataki kuja....
Some how I have learnt on some of the things unazoeleza hapa..I realy know what you are talking about; Lakini uchawi ni power ya chini kabisa kwenye Kingdom of darkness, marine waters ndo wanaongoza ila wanapokutana na moto wa roho mtakatifu ambao ni utakaso kwa watakatifu na ni moto ulao kwa waovu basi ni kama kumuua nzi kipande cha gazeti tu chini....dada mmoja alikuwa mchawi and was shown into spirit siku ile nimemfuata kabla sijaongea akaanza kupiga kelele na kuniambia yote anayojua kuhusu uchawi; it was my first experience kumsikia mchawi live niliona kama vile naota vile everybody was surprised...From then nikaamini kumbe ni kweli uchawi upo, I used to doubt very much about the existence of it. One year later niko ulaya ndani ya train mbele yangu alikwepo binti so akanigeukia kwa hasira kwanini unanipulizia pumzi ya moto nikawa na shangaa imagine nchi ya watu mzungu anakupigia kelele, nikadhani ni racist mara akafungua mlango wa train (zile kama daladala) bado ilikua haijaondoka kilichofuata duuh akavua nguo hadharani hapo hapo akaanguka chini akajikojolea maskini and the lady was in her days it was a disaster na mm kumwendea na ogopa nisije funguliwa mashitaka, mara akapata fahamu akaja akaniambia what powers do you have nikamwambia holly spirit...akaondoka bila kuaga mtu...Kila mtu akabaki ananishangaa kama sinema vile na mimi nikabaki kimya kama siyo mm vile; it was realy a bad experience for me lakini nika comfirm kumbe siyo wote waliobarabarani ni wema....
Maji moto hujajibu swali langu
vipi kuhusu bei ya majini?ni kweli yanauzwa?
Majini hayauzwi, isipokuwa unapoingia kwenye taaluma hii ya uchawi, ukimaliza mafunzo unapewa majini kama zana za kufanyia kazi, kumbuka kuwa kuna aina nyingi sana za majini na uwezo wao hutofautina sana. Kadri unavyomiliki majini ya kila fani ndivyo unavyokuwa maarufu katika fani hii ya ulozi.
ok,majimoto!kijana anapobaleghe huota njoz za mapenz na kumalza haja zake,the same to girls,kwani hayo ni mabadiliko ya kibaiolojia,inakuaje wengne wananasibisha na MAJINIMAHABA?
I had an experience once when my spirit confirmed to me the person whom I had contract with na akataka kunirusha na kushindwa siku ananipa hizo pesa zangu basi hazikuwa salama...something was telling me that its not all well..Then ikawa kama nawaza vile kwamba I am protected but my drivers who worked for the contract were not safe..So nika enda nakuwaeleza of course kama you are a non believer si rahisi uamini and one of my driver told me usijali mimi hawezi kunifanya jambo lolote. Atfter a less than a week the same driver akaanza kuugua akalazwa hospitali...things turned to be very bad kabla hajatoka mkewe akalazwa na baadaye mtoto wake mdogo..then hatuja kaa vizuri the other driver things were not going through yeye sikuile ninawaambia aliniangalia tu lakini nikamsoma kanielewa but anajua atakacho fanya siyo vile mm na mwambia..baada ya mwezi akaacha kazi naona akaona mmh mambo si mambo kwa shetani hayuko sawa sawa na kwa Mungu hataki kuja....
Some how I have learnt on some of the things unazoeleza hapa..I realy know what you are talking about; Lakini uchawi ni power ya chini kabisa kwenye Kingdom of darkness, marine waters ndo wanaongoza ila wanapokutana na moto wa roho mtakatifu ambao ni utakaso kwa watakatifu na ni moto ulao kwa waovu basi ni kama kumuua nzi kipande cha gazeti tu chini....dada mmoja alikuwa mchawi and was shown into spirit siku ile nimemfuata kabla sijaongea akaanza kupiga kelele na kuniambia yote anayojua kuhusu uchawi; it was my first experience kumsikia mchawi live niliona kama vile naota vile everybody was surprised...From then nikaamini kumbe ni kweli uchawi upo, I used to doubt very much about the existence of it. One year later niko ulaya ndani ya train mbele yangu alikwepo binti so akanigeukia kwa hasira kwanini unanipulizia pumzi ya moto nikawa na shangaa imagine nchi ya watu mzungu anakupigia kelele, nikadhani ni racist mara akafungua mlango wa train (zile kama daladala) bado ilikua haijaondoka kilichofuata duuh akavua nguo hadharani hapo hapo akaanguka chini akajikojolea maskini and the lady was in her days it was a disaster na mm kumwendea na ogopa nisije funguliwa mashitaka, mara akapata fahamu akaja akaniambia what powers do you have nikamwambia holly spirit...akaondoka bila kuaga mtu...Kila mtu akabaki ananishangaa kama sinema vile na mimi nikabaki kimya kama siyo mm vile; it was realy a bad experience for me lakini nika comfirm kumbe siyo wote waliobarabarani ni wema....
Mikoa saba nchini Tanzania ndiyo tishio kwa kuwa na nguvu kubwa za uchawi
1. Tanga ndio kinara
2. Lindi unafuatilia
3. Dar es Salaam
4. Mtwara
5. Tabora
6. Kigoma
7. Mwanza
Mikoa yenye wachawi wengi, kwa maana kwamba karibu kila kaya kuna mchawi
1. Sumbawanga (Rukwa) ndio kinara
2. Ruvuma inafuatialia
3. Mbeya
4. Singida
Mikoa ambayo wananchi wake ndio wateja wakuu wa wachawi
1. Kilimanjaro inaongoza
2. Morogoro inafuatilia
3. Kagera
Wateja wengine wa wachawi
1. Wafanyabiashara
2. Wasanii
3. Kina mama wa nyumbani
4. Wanafunzi wa shule za sekondari hasa wa kidato cha pili.
Maji,kama watu wanachukuliwa misukule,wakiwa na wachawi hufa,so wakifa ni nani huwasitiri?au huliwa nyama?
Mkuu hiyo kwenye nyekundu naona ni mikoa yenye waislamu wengi zaidi. Je kuna uhusiano gani kati ya uislamu na uchawi?
Asili ya uchawi na majini ya nchi za Kiafrika ni kutoka Arabuni, ndiyo maana utakuta majini mengi yana majina ya Kiarabu. Miji au vijiji walivyokaa Warabu ndivyo vinaongoza kwa uchawi na havina maendeleo. Lakini utashangaa pia kuwa mtu kama Osama Bin Laden ambaye ni Mwarabu amefundishwa uchawi na Mtanzania wa Kigoma.