Moorio
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 399
- 554
Habari wanajamvi,
Rejea kichwa cha habari hapo juu. Kutokana na changamoto mbalimbali haswa za kifamilia na binafsi, ninafunga office yangu ya spea za Pikipiki iliyopo Dodoma mjini maeneo ya Majengo.
Mzigo uko wa spea za Boxer, TVS na GN, bei nzuri zaidi ya kkoo. Mzigo upo wa zaidi ya 18M.
Kwa aliyetayari kununua spea za pikipiki kwa bei nzuri ya jumla tafadhali tuwasiliane.
Whatsapp +255 622284100
Natanguliza shukrani za dhati.
Rejea kichwa cha habari hapo juu. Kutokana na changamoto mbalimbali haswa za kifamilia na binafsi, ninafunga office yangu ya spea za Pikipiki iliyopo Dodoma mjini maeneo ya Majengo.
Mzigo uko wa spea za Boxer, TVS na GN, bei nzuri zaidi ya kkoo. Mzigo upo wa zaidi ya 18M.
Kwa aliyetayari kununua spea za pikipiki kwa bei nzuri ya jumla tafadhali tuwasiliane.
Whatsapp +255 622284100
Natanguliza shukrani za dhati.