Biashara ya Solar

Biashara ya Solar

oldisgold

Senior Member
Joined
Oct 2, 2013
Posts
198
Reaction score
65
Tanzania ina watu milioni 45

wote wanataka huduma ya umeme ya uhakika na cheap

Tanzania tayari inayo Bilionea wa Solar

na mimi nataka nimjoin

je Inalipa kuleta solar ambazo zishakuwa assembled au tufungue assembly line?

Je current companies zishatengeneza mabilionea wangapi na je what are my chances?
 
What do you mean zimeshakuwa assembled ? ... Huyo bilionea anaitwa nani'?..
 
What do you mean zimeshakuwa assembled ? ... Huyo bilionea anaitwa nani'?..

anaitwa patric ngowi,zime kuwa assembled ni zimeshatengenezwa tayari kwa matumizi na sio components zakuunganisha mwenyewe

to the topic kwani huwezi kubuni kitu kingine?:tape:
 
wewe ingia na wala usihangaike sana

nenda kwa huyo ngowi ka kopy kila kitu na wewe utapata fungu lako

kama vile wauza nyanya sokoni

kila mmoja ana fungu lake
 
wewe ingia na wala usihangaike sana

nenda kwa huyo ngowi ka kopy kila kitu na wewe utapata fungu lako

kama vile wauza nyanya sokoni

kila mmoja ana fungu lake

Duuuuuhhhhhh................!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom