Kodi lazima ilipiwe ila kama upo interested nawezakukuletea simu kwa makubaliano kwakuwa hakuna haja ya kusafiri nawezakukutumia,inategemea unataka kuanza na ngapi na aina gani za simu lakini nafikiri ukiwa na 3ml inatosha sana kwa mzigo wa kwanza,Tuzungumze zaidi