Biashara ya Senene

Red pen

Member
Mar 4, 2019
51
37
Hello ndugu, nawatafuta wafanyabiashara kutoka mikoa mbalimbali hapa Tanzania wanaonunua Senene kwa ajili ya biashara kutoka Bukoba, Kagera wanaolangua.

Tafadhali tuwasiliane, tukutane uchukue Senene wazuri pure wa sasa hivi,napatikana Kagera.

Karibu sana.
 
Hello ndugu, nawatafuta wafanyabiashara kutoka mikoa mbalimbali hapa Tanzania wanaonunua Senene kwa ajili ya biashara kutoka Bukoba, Kagera wanaolangua.

Tafadhali tuwasiliane, tukutane uchukue Senene wazuri pure wa sasa hivi,napatikana Kagera.

Karibu sana.
Lita 10 shilingi ngapi?
 
Kwahiyo wewe hauna vipimo maalumu na bei zake , si waweza sema labda nusu kilo ni 3000, kilo 5000/= hiyo kutegemea ndyo ninii ,nahitaji robo kilo sh ngapii?
Ninauza kwa jumla, mm ninakamata hao senene. Kwaiyo, nauza kwa ndoo ndogo/kubwa, diaba moja na kuendelea. Pole kwa kutokuliweka wazi mkuu. Karibu Sana.
 
Back
Top Bottom