Barber shop clasic bajet ni kama ifuatavyo
1.viti vya saloon clasic @1, 000, 000
2.kiti cha scrub @1, 500, 000
3.fetlizer @350, 000
4.machine za kunyolea 150, 000
5.tv and radio
6 .air port chair @500, 000
Hii ndio rougly bajet km frame ipo poa mean ac, vioo
So Saloon ni Salon
Kuna kipindi kumwabia mtu ukweli nakuwa ngum sana ila inabidi.
Hakuna Salon nzuri kama unavyotaka kwa milioni mbili.
Sema nataka Salon ya kwaida uswaznigga hapo sawa.
Maana mfumo wa sasa ni Full aluminum,na mlango wa aluminium si chini ya milioni moja,bado hujaingia ndani kufix.
Unajua pesa kuitamka unaona no nyingi lakini ukiingia kwenye mipango ni ndogo sana,usije ukakurupuka kisha ukaja kukwama na mtaji ukaganda.
Nakushauri fungua Salon ya kawaida tu,weka mlango wa mbao,viti vya mbao,weka feni ya kiushkaji hapo itakutoa.
Lakini ukitaka makuu hiyo pesa ni ndogo sana.
Mtu wa kufanya scrub mara nyingi hakuna malipo ya mwezi,huwa analipwa kwa kila kichwa,tatizo ni kwamba ukianza kutafuta mtu aisemjuzi badso hapo biashara itakula kwako,wateja watakimbia,alikni kama ukitafuta mdada mzuri wa kazi hiyo basi unaweza kukuta hata mtu kama hajanyoa hapo anaweza kujakufanya scrub
1.6m +..
Kiti cha kawaida kariakoo 450000
Front frame pamoja na mirror 400000
Resting chair vya wateja 200000
Machine mbili 220000
Vioo vya nyuma na pembeni 150000 pamoja na frame
Vitambaa vitano au sita 120000
Mengineyo 100000
Kodi ya frame inategemea na location ila sehem nyng ni 50000 per month
Sent using Jamii Forums mobile app
saloon ni ya gari.hiyo inaandikwa salon au andika kwa kiswahili saluni
habari zenu
wadau, nafikiria kujiajiri kwa kufungua saloon ya kike,naomba kwa
mwenye uzoefu anisaidie ushauri naweza nikaanzia na mtaji wa
shilingi ngapi ?
Mimi nimeshawaza kufanya high ending barber. Yaani hair cut kwa kichwa not less than 8000. Jee mnadhani hii inawezekanika? Nataka kusaka location either mitaa ya Morroco/ Kinondoni au upanga. Ninaposema high ending naamanisha high ending include valet parking.
Jee mnadhani hili linawezekanika? Jee kuna uwezekano wa kupata 20 customers a day?
Mkuu huo mtaji unahusisha vitu gani?mimi ninayo ya kawaida mtaji kama m3.{kodi inclusive
aisee ni bungua bongo....wananipa 60 kwa wiki!
mwanzoni ni lazima uwe karibu kuangalia mapato!
Pili,vijana wengi sana wanaofanya kazi hiyo upeo wao ni mdogo mno wana tamaa na hawaaminiki ...umakini wa hali ya juu unahitajika kuwachagua na kuwafuatilia
Hata hivyo ukiridhika inafaa kupatia hela ya mboga za majani
mimi ninayo ya kawaida mtaji kama m3.{kodi inclusive
aisee ni bungua bongo....wananipa 60 kwa wiki!
mwanzoni ni lazima uwe karibu kuangalia mapato!
Pili,vijana wengi sana wanaofanya kazi hiyo upeo wao ni mdogo mno wana tamaa na hawaaminiki ...umakini wa hali ya juu unahitajika kuwachagua na kuwafuatilia
Hata hivyo ukiridhika inafaa kupatia hela ya mboga za majani