Biashara ya real estate tanzania

C.T.U

JF-Expert Member
Jun 1, 2011
5,070
3,718
wakuu katika pita pita yangu ya hapa na pale katika maisha nilikuwa nafikiria mara mbili mbili kuanzisha biashara ya real estate hapa tanzania mimi naona ni biashara ambayo inalipa kama mtu ukiwa serious sasa kwa kuwa hapa naamini ni home oof great thinkers nikaona nifikishe proposal hapa tuone kama kuna uwezekano wa mm kuanzisha na jinsi biashara inavyolipa, cost zake, budget yake ya biashara n.k..
 
mkuu ... hapa kuna mawili ..... la kwanza ni upande wa wateja wa real estate; kitu kikubwa kinachowawezesha wateja wa nyumba especially residentials ni system ya mortgage finance , sasa hapa kwetu TZ ndiyo inataka kuanza .... pili serikali imekuwa na very poor strategic plan kwenye idara ya urban planning, hakuna future planed towns, suburbs, townships and sub areas ambazo zipo in proper survey and with proposed infrastructures (water & electricity, transport;trains and roads, hospitals, markets, sports etc) ..... miji yote Tanzania imejaa na sehemu nyingi za miji tena mikubwa kama Dar (manzese) utakuta ni unsurveyed,

hivyo basi lazima uwe na enough resources ukachukue ardhi kubwa nje ya miji ,manispaa au majiji halafu ufanye township/suburb planing pamoja na infrastructures zake ndipo ujenge nyumba, apartments, shops, malls and offices for lease/rent or for sale..... au ununue viwanja kwenye ready developed satelite cities if you like in which the chance is very narrow for now due to small number of lots and high competition (kama vile vya Luguruni: wahindi ndio wameula pale)

you need big lot of money my bro ..! good business

unless otherwise i wish you all the best ....
 
mimi pia ni mdau mkubwa katika eneo hili, .....................ngoja nzunguke kidogo, nitarudi.......................
 
LAT aksante sana mkuu kwa hilo sasa swali langu ni kiasi gani ambacho kitatosha iwapo itatokea kuomba ufadhili n.k......
$40 mil will be enough???

Pleaaaseeeeeeeeeeeeee
Are you asking if $40 Million will be enough???.....unless you meant 40 Tzsh
 
LAT aksante sana mkuu kwa hilo sasa swali langu ni kiasi gani ambacho kitatosha iwapo itatokea kuomba ufadhili n.k......
$40 mil will be enough???

mkuu .... good to hear that we now go into figures

i suggest an average of UDS 600 (ex. dar market price) per square meter of land as a unit factor for real estate development budget, inclusive infrastructures

one acre = 4047 sqm

let say we take a land totaling 150 acres, startng at a development rate of 40% of land

then 60 acres x 4047sqm = 242,820 sqm

therefore total floor area for development is 242,820 sqm (including high rise storeys)

242,820 sqm x USD 600 = 145,692,000

Total investment cost USD 145,692,000

these are calculations based on many assumptions
 
mkuu .... good to hear that we now go into figuresi suggest an average of UDS 600 (ex. dar market price) per square meter of land as a unit factor for real estate development budget, inclusive infrastructuresone acre = 4047 sqmlet say we take a land totaling 150 acres, startng at a development rate of 40% of landthen 60 acres x 4047sqm = 242,820 sqmtherefore total floor area for development is 242,820 sqm (including high rise storeys)242,820 sqm x USD 600 = 145,692,000Total investment cost USD 145,692,000these are calculations based on many assumptions
LAT,Naona umeeleza vizuri inawezekana Architecture and Construction ni fani yako.Real Estate Bangalore, ulizozielezea nadhani ni projects kubwa inaitaji pesa nyingi sana, ebu tujaribu kufahamishana hizi Apartment za kawaida kama zile za pale upanga au pale mbezi beach kuna msomali mmoja uwa anajenga na kuuza
 
  • Thanks
Reactions: LAT
Wah katika miji inayoanza kukua kama kibaha imepimwa vizur tatizo waweza kwamishwa na ulasim katika serikali yetu watataka mle pamajo mpaka last cent.
 
Mkuu hii biashara inalipa sana kama LAT alivyokushauri but location in matter sana in order to get your returns.
do it mkuu
 
mkuu .... good to hear that we now go into figures

i suggest an average of UDS 600 (ex. dar market price) per square meter of land as a unit factor for real estate development budget, inclusive infrastructures

one acre = 4047 sqm

let say we take a land totaling 150 acres, startng at a development rate of 40% of land

then 60 acres x 4047sqm = 242,820 sqm

therefore total floor area for development is 242,820 sqm (including high rise storeys)

242,820 sqm x USD 600 = 145,692,000

Total investment cost USD 145,692,000

these are calculations based on many assumptions

mkuu LAT, shukrani sana kwa maelezo haya mazuri................

nakumbuka kuna mdau mmoja hapa jamvini aliwahi kusema kuwa construction cost inaweza kuwa TSH 500,000/ per sqm (zaidi kidogo ya USD 300)............... japo najua inflation factor inweza kuongeza hiyo figure hasa kwa hali ya nchi yetu............

inaonekana ume-assume kuwa properties zitakuwa single storeys na hivyo hizo total sqms zitaenea eneo la 40% 0f 150 acres. ......................nafikiri eneo hilo ni kubwa sana na bei ya plot peke yake inaweza kumcost sana na itapunguza mtaji utakaobaki kwa shughuli ya construction hasa kama atataka kujenga kwenye prime locations.................. pia infrastructure zinakuwa horizontally extended badala ya verically ............. unaweza kutusaidia mchanganuo utakuwaje kama atajenga multi-storeys kwa hali halisi za BOQ za dar (say atahitaji plot yenye ukubwa wa 50 acres)................. na hiyo construction cost per sqm ya USD 600, itaendelea kubaki hivyohivyo?................

tuko pamoja mkuu
 
  • Thanks
Reactions: LAT
mkuu .... good to hear that we now go into figures

i suggest an average of UDS 600 (ex. dar market price) per square meter of land as a unit factor for real estate development budget, inclusive infrastructures

one acre = 4047 sqm

let say we take a land totaling 150 acres, startng at a development rate of 40% of land

then 60 acres x 4047sqm = 242,820 sqm

therefore total floor area for development is 242,820 sqm (including high rise storeys)

242,820 sqm x USD 600 = 145,692,000

Total investment cost USD 145,692,000

these are calculations based on many assumptions



mkuu LAT, shukrani sana kwa maelezo haya mazuri................

nakumbuka kuna mdau mmoja hapa jamvini aliwahi kusema kuwa construction cost inaweza kuwa TSH 500,000/ per sqm (zaidi kidogo ya USD 300)............... japo najua inflation factor inweza kuongeza hiyo figure hasa kwa hali ya nchi yetu............

inaonekana ume-assume kuwa properties zitakuwa single storeys na hivyo hizo total sqms zitaenea eneo la 40% 0f 150 acres. ......................nafikiri eneo hilo ni kubwa sana na bei ya plot peke yake inaweza kumcost sana na itapunguza mtaji utakaobaki kwa shughuli ya construction hasa kama atataka kujenga kwenye prime locations.................. pia infrastructure zinakuwa horizontally extended badala ya verically ............. unaweza kutusaidia mchanganuo utakuwaje kama atajenga multi-storeys kwa hali halisi za BOQ za dar (say atahitaji plot yenye ukubwa wa 50 acres)................. na hiyo construction cost per sqm ya USD 600, itaendelea kubaki hivyohivyo?................

tuko pamoja mkuu

mkuu

refer to my post and replies in red

Bills of Quantities (BOQ) is an extensive document with measured works drawn from construction drwawings

actually this piece of infromation is called a pre budget forecast that assumes mostly
 
Ok, dear colleaques am very interested in this investments kindly lets team up for sharing Information, thank very much
 
Kama mtaji wako ni mdogo anza kununua nyumba za watu waliofulia zinazouzwa na mabenki kwenye mnada (foreclosure) kisha ufanye flipping kuziuza baadaye kwa bei ya soko. Yupo jamaa alinunua property kwa 70 million baada ya miezi 2 kaiuza kwa mill 400. mkakati huu utakusaidia kuongeza mtaji.
 
Ningeshauri kama unaweza kuanza na small scale properties. Nyumba ndogo sehemu kadhaa kwani eka moja au mbili unaweza kutengeneza nyumba ya kuishi familia kama tatu au nne hivi kila moja ikijitegemea kwa kuwa na 4,4 or 5 units au zaidi. Nimeshaona watu kadhaa wamefanya hivyo na inasaidia kwa walio na familia ndigo na single wanapenda sana hiyo.

Karibu ya vyuo nako kuna biashara nzuri kwa kujenga nyumba za aina hiyo kwani zitataweza kutumika kama hostel kwa wanafunzi. Biashara hii ni nzuri kwani huwa ni ya single famili na zinafaa kwa siku za mbele biashara ikidoda ni rahisi kughawanya urithi wa watoto wako, kwani kulimbikiza kwenye real estate moja watakuja kukatana mapanga kwa ajili ya urithi kama hawana akili timamu za kutuliza bongo lao.

Nchi zilizoendelea wanaumia sana na biashara hii ya kujenga compound apartments kwani itakuvimbishia mishipa kichwani utakapokosa watu wa kujaza, kumbuka kupanga nyumba kunatetemea usafiri rahisi, huduma za kijamii, shopping centers na urahisi wa kufika kazini mapema. Si mradi kujenga tu nyumba utakuja kukumbuka majuto ni mjukuu.
 
mkuu .... good to hear that we now go into figures

i suggest an average of UDS 600 (ex. dar market price) per square meter of land as a unit factor for real estate development budget, inclusive infrastructures

one acre = 4047 sqm

let say we take a land totaling 150 acres, startng at a development rate of 40% of land

then 60 acres x 4047sqm = 242,820 sqm

therefore total floor area for development is 242,820 sqm (including high rise storeys)

242,820 sqm x USD 600 = 145,692,000

Total investment cost USD 145,692,000

these are calculations based on many assumptions

Hii Kama Kuna Viumbe wakitaka iendelezwe! Count Me In. Labda ku brief mambo ni kwamba you cant earn if you dont spend. Money, time and in significant with Knowledge.
 
Kama mtaji wako ni mdogo anza kununua nyumba za watu waliofulia zinazouzwa na mabenki kwenye mnada (foreclosure) kisha ufanye flipping kuziuza baadaye kwa bei ya soko. Yupo jamaa alinunua property kwa 70 million baada ya miezi 2 kaiuza kwa mill 400. mkakati huu utakusaidia kuongeza mtaji.
One of the best ideas ever concerning real estate...
 
You cannot move on, if you say that money is too big for me to venture. Think how you are going to get it, believe that, It's yours arleady. Real estate ni more than investment product!
 
I think u guys are thinking too far ahead,I mean can't one start small,let's say kuna viwanja havijapimwa na vinauzwa kama hatua 30 kwa 30 laki 5,kama mtaji wangu mdogo siwezi kuvikusanya hivi baada ya miaka mitano nikaviuza nikanunua eneo la maana zaidi?hapo imekaaje wakuu?
 
I think u guys are thinking too far ahead,I mean can't one start small,let's say kuna viwanja havijapimwa na vinauzwa kama hatua 30 kwa 30 laki 5,kama mtaji wangu mdogo siwezi kuvikusanya hivi baada ya miaka mitano nikaviuza nikanunua eneo la maana zaidi?hapo imekaaje wakuu?
Mh, Inategemea na hyo laki 5 umeiweka kwa ajili ya kununua kiwanja au kwa ajili ya kukuza mtaji. Ila kama kwa ajili ya kukuza mtaji kwa miaka mitano, kwa kiwanjo hichohicho utakuwa too slow, unless eneo lako hlo liwe very stragegic baada ya miaka 5. Mi naamini, kuna Business Models tofauti za mtaji kama huo au juu kidgo kwa huo, ambazo zitakusaidia kukusanya hata zaidi ya mara 4 ya pesa utakayopata baada ya kuuza kiwanja hicho baada ya miaka 5. THINK, THINK and THINK MORE, GO DEEP ABOUT IT!
 
Back
Top Bottom