Biashara ya movie library

tan 90

Senior Member
Jul 29, 2012
182
36
Habari zenu wana jamvi, Naomba niweke mezani hili jambo tuweze kisaidiana Kwa mawazo.
Nadhani wote mnafahamu hii Biashara ambayo watu hufanya mjini katika mikoa tunayoishi, Biashara ya kuuza movies ,series na nyimbo tofauti tofauti... Kwa wanao ifahamu Kwa undani, ukitaka kuianzisha unahitaji kuwa na vitu gani haswa, na bajeti yake ni kiasi gani ikiwa ni pamoja na kuisajili Kama Biashara nyingine?
Changamoto zake ni zipi?
Na je, Ina faida Kwa kiasi gani?
Kuna vitu gani vya ziada vinahitajika ili iwe bora zaidi na kuvutia watu wengi zaidi.
d62c1f2c7a0b0af9ade678e9ed002f97.jpg
 
ukiwauliza wafanyabiashara hiyo uliokaribu nao wangeweza kukufafanulia vuzuri zaidi. Anyway, wasubiri wajuzi wakujuze
 
Mchiz wangu alkua nayo hiyo. Ukitaka kukwepa hasara kua na mashine yako ya ku Burn CD. uwe na internet bundle la kutosha. Unampa mtu list akitaka una burn cd au unamuekea kwenye flash. Hii njia itakupa wateja wengi kwa kua watu wanabania ela zao za bundle ku download series wakati series zipo nyingiiiii skuizi sanasana watu wanaokaa ofisini wanazipenda sana. Ukikaa na cd kwenye stock ni hasara kwa kua technologia inaeza kukutupa at any time t na pia huwezi uzia wafanya biashara wengine hizo cd. Ukiwa na Burner ww unacheki soko likowapi unachapisha cd zako
 
Mchiz wangu alkua nayo hiyo. Ukitaka kukwepa hasara kua na mashine yako ya ku Burn CD. uwe na internet bundle la kutosha. Unampa mtu list akitaka una burn cd au unamuekea kwenye flash. Hii njia itakupa wateja wengi kwa kua watu wanabania ela zao za bundle ku download series wakati series zipo nyingiiiii skuizi sanasana watu wanaokaa ofisini wanazipenda sana. Ukikaa na cd kwenye stock ni hasara kwa kua technologia inaeza kukutupa at any time t na pia huwezi uzia wafanya biashara wengine hizo cd. Ukiwa na Burner ww unacheki soko likowapi unachapisha cd zako
Asante Sana mkuu Kwa wazo zuri.... shukrani sana.
 
Back
Top Bottom