G TARIMO
Member
- Jul 23, 2025
- 30
- 22
Habari za wakati huu wakuu,
Naitwa Godfrey, nina mpango wa kuanzisha biashara ya M-Pesa nikiwa na mtaji wa takriban milioni 3. Nipo Dar es Salaam (eneo la Tegeta na Mwenge) na nimekuwa nikifuatilia kwa muda, ila bado nina maswali kadhaa:
1. Je, biashara hii bado inalipa kweli ?
2. Kuna changamoto zipi kubwa ninazopaswa kujiandaa nazo?
3. Na kama mtu ana mtaji kama wangu, kuna kitu gani bora zaidi ya M-Pesa unashauri nifanye?
Naomba ushauri kutoka kwa waliowahi au wanaofanya biashara hii kwa sasa.
Ushauri wenu utanisaidia sana kabla sijarisk hela yangu yote. Nimeipata kwa shida sana hii na kwa mda mrefu
Asanteni sana 🙏
Naitwa Godfrey, nina mpango wa kuanzisha biashara ya M-Pesa nikiwa na mtaji wa takriban milioni 3. Nipo Dar es Salaam (eneo la Tegeta na Mwenge) na nimekuwa nikifuatilia kwa muda, ila bado nina maswali kadhaa:
1. Je, biashara hii bado inalipa kweli ?
2. Kuna changamoto zipi kubwa ninazopaswa kujiandaa nazo?
3. Na kama mtu ana mtaji kama wangu, kuna kitu gani bora zaidi ya M-Pesa unashauri nifanye?
Naomba ushauri kutoka kwa waliowahi au wanaofanya biashara hii kwa sasa.
Ushauri wenu utanisaidia sana kabla sijarisk hela yangu yote. Nimeipata kwa shida sana hii na kwa mda mrefu
Asanteni sana 🙏