MkuuXyz
Senior Member
- Jun 18, 2025
- 161
- 269
Swali ni fupi sana na nahitaji majibu mafupi kutoka kwa wadau wenye ufahamu/uzoefu na biashara hii.
SWALI- Ni mtaji wa kiasi gani ( MINIMUM) Unahitajika kuanzisha biashara ya kununua mazao ( nafaka ) mikoani na kuleta kuuza Dar.
Tafadhali zingatia kuwa nahitaji kujua mtaji wa chini kabisa wa kuanzia ( MINIMUM )
*Swali limeulizwa kwa niaba ya ndugu yangu, kijana wa mika 35
Ahsanteni.
SWALI- Ni mtaji wa kiasi gani ( MINIMUM) Unahitajika kuanzisha biashara ya kununua mazao ( nafaka ) mikoani na kuleta kuuza Dar.
Tafadhali zingatia kuwa nahitaji kujua mtaji wa chini kabisa wa kuanzia ( MINIMUM )
*Swali limeulizwa kwa niaba ya ndugu yangu, kijana wa mika 35
Ahsanteni.