cleverr
Senior Member
- Mar 3, 2020
- 141
- 140
Habari zenu wakuu poleni na kazi za hapa na pale,
Ninapenda kuwataarifu wafanya biashara wa mazao hasa wanunuzi na wahitaji wa mazao kama Soya beans (inapatikana Malawi), karanga( nyekundu na nyeupe), Kunde, Mbaazi na maharage (aina tofauti tofauti kama sugar beans, maharage ya njano, mekundu nk.) nk. Yanapatikana.
LOCATION NA UWEZO WA MZIGO
Tunapatikana Boda ya kasumulu kati ya Malawi na Tanzania, pia tunauza Kwanzia Tani 10 nakuendelea hata tani 5,00+ zinapatikana..
UAMINIFU NA UHAKIKA;
Mteja akihitaji anaweza kufika yeye mwenyewe physically au akatuma muwakilishi ili kujiaminisha zaidi,
USAFIRISHAJI;
Kuhusu usafirishaji sio shida sana Kwa sababu Kuna maroli yanatoka Malawi Empty kuelekea Dar es laam, Arusha nk(gharama za usafirishaji kutoka kasumulu mpaka destination ya mzigo ni za mteja)
BEI YA MIZIGO;
Inategemeana kati ya zao Moja na jingine pia nature ya msimu na upatikanaji wake.. kwahiyo kipindi kama hiki mwezi April-october...bei hua zinakua chini sana Kwa sababu mazao yanapatikana Kwa urahisi
VIBALI NA USHURU;
Hapa Kuna maajent wa makampuni ya usafirishaji ndio wanafanya hii kazi kutegemeana na nature ya mzigo kama ni ( Import, Export au Transit)
MAWASILIANO;
0765891704, isipopatikana basi tumia Whatsapp Kwa sababu sometimes hua tunaingia malawi ambako line za kitanzania hazipatikani.
Tazama picha zaidi hapa chini.
Ninapenda kuwataarifu wafanya biashara wa mazao hasa wanunuzi na wahitaji wa mazao kama Soya beans (inapatikana Malawi), karanga( nyekundu na nyeupe), Kunde, Mbaazi na maharage (aina tofauti tofauti kama sugar beans, maharage ya njano, mekundu nk.) nk. Yanapatikana.
LOCATION NA UWEZO WA MZIGO
Tunapatikana Boda ya kasumulu kati ya Malawi na Tanzania, pia tunauza Kwanzia Tani 10 nakuendelea hata tani 5,00+ zinapatikana..
UAMINIFU NA UHAKIKA;
Mteja akihitaji anaweza kufika yeye mwenyewe physically au akatuma muwakilishi ili kujiaminisha zaidi,
USAFIRISHAJI;
Kuhusu usafirishaji sio shida sana Kwa sababu Kuna maroli yanatoka Malawi Empty kuelekea Dar es laam, Arusha nk(gharama za usafirishaji kutoka kasumulu mpaka destination ya mzigo ni za mteja)
BEI YA MIZIGO;
Inategemeana kati ya zao Moja na jingine pia nature ya msimu na upatikanaji wake.. kwahiyo kipindi kama hiki mwezi April-october...bei hua zinakua chini sana Kwa sababu mazao yanapatikana Kwa urahisi
VIBALI NA USHURU;
Hapa Kuna maajent wa makampuni ya usafirishaji ndio wanafanya hii kazi kutegemeana na nature ya mzigo kama ni ( Import, Export au Transit)
MAWASILIANO;
0765891704, isipopatikana basi tumia Whatsapp Kwa sababu sometimes hua tunaingia malawi ambako line za kitanzania hazipatikani.
Tazama picha zaidi hapa chini.