[h=2]Biashara ya mayai ya kuku wa kisas
a[/h]
Wadau wa naomba mwenye uzoefu wa biashara ya mayai ya kuku wa kisasa anisaidie ushauri juu ya mambo yafuatayo:
1) Je, biashara hii inalipa?
2) Je, ni muda gani mayai huaribika endapo sijauza?
3) Je, wapi naweza kupata mayai kwa bei nzuri na trei ni shilingi ngapi?
4) Trei tupu zinauzwa wapi?
Wadau natanguliza shukrani zangu, nikiamini kuwa mtanisaidia.
1) Je, biashara hii inalipa?
2) Je, ni muda gani mayai huaribika endapo sijauza?
3) Je, wapi naweza kupata mayai kwa bei nzuri na trei ni shilingi ngapi?
4) Trei tupu zinauzwa wapi?
Wadau natanguliza shukrani zangu, nikiamini kuwa mtanisaidia.