Biashara ya matunda

pelius laurent

Senior Member
Oct 7, 2019
130
122
Wana JF pole na kazi,

Mimi naitwa Pelius nipo mwanza, ni kijana niliemaliza chuo na kukutana na changamoto ya ajira, moja kwa moja niende kwenye swali langu.

Je, nikiwa na mtaji wa 100,000Tsh au 50,000Tsh nikaanzisha biashara ya matunda, ni sehemu gani naweza kufanyia hii biashara kwa maeneo ya mwanza? Hasa maeneo ya (Sabasaba, Pasiansi, Kona ya bwiru, Ghana, Kirumba, Nyasaka ,Buzuruga, Mecco, National).

Naomba muongozo wakuu.
 
Siku hizi wanakatakata matunda mchanganyiko wanaweka katika vi contena alafu wanasambaza mitaani, maofisini, migahawani, ma garage, stend za magari nk.

NB: TAFUTA WADADA WAZURI WAREMBO WAWE WASAMBAZAJI 😄

wateja wanaume wengi ni dhahifu kwa wadada miaka 20 - 25!! Hawawezi leta ubahili.

Pia muonekano wa urembo/usafi mteja hushawishika chapu 😆
 
(Sabasaba, Pasiansi, Kona ya bwiru, Ghana, Kirumba, Nyasaka ,Buzuruga, Mecco, National)
, ni sehemu gani naweza kufanyia hii biashara kwa maeneo ya mwanza?

Je, kati ya haya maeneo tajwa, Ni eneo lipi ambalo huwa na mkusanyiko mkubwa wa watu hasa nyakati za mchana?

Basi hapo ndio sehemu sahihi ya kuweka biashara.
 
Siku hizi wanakatakata matunda mchanganyiko wanaweka katika vi contena alafu wanasambaza mitaani, maofisini, migahawani, ma garage, stend za magari nk.

NB: TAFUTA WADADA WAZURI WAREMBO WAWE WASAMBAZAJI 😄

wateja wanaume wengi ni dhahifu kwa wadada miaka 20 - 25!! Hawawezi leta ubahili.

Pia muonekano wa urembo/usafi mteja hushawishika chapu 😆
Mwenzio ana laki anajitafuta unaanza kumpa story za wadada wazuri,atawalipa Nini?yeye Binafsi anaweza kuuza vizuri tu,hayo mambo ya usafi afanye mwenyewe ataona mtaji wake utavyokuwa
 
Siku hizi wanakatakata matunda mchanganyiko wanaweka katika vi contena alafu wanasambaza mitaani, maofisini, migahawani, ma garage, stend za magari nk.

NB: TAFUTA WADADA WAZURI WAREMBO WAWE WASAMBAZAJI 😄

wateja wanaume wengi ni dhahifu kwa wadada miaka 20 - 25!! Hawawezi leta ubahili.

Pia muonekano wa urembo/usafi mteja hushawishika chapu 😆
Asambaze wake au sio
 
Naomba link ya hilo bandiko mkuu

WAZIRI wa Afya ,Ummy Mwalimu ameonya ongezeko la magonjwa yasiyoambukiza ifikapo 2030 huku akitahadharisha kuwa mtindo mbaya wa maisha ikiwemo ulaji usiofaa umekuwa sababu kubwa ya magonjwa hayo.

Ummy alisema ulaji wa matunda mchanganyiko ni sababu hatari kwa ugonjwa wa kisukari na kuwataka watu kuacha kuchanganya matunda wakati wa ulaji ambapo mtu anatakiwa kula tunda moja tu na baada ya nusu ya saa moja kula lingine.

Akizungumza leo jijini Dar es Salaam wakati wa Uzinduzi wa kampeni ya uelimisha ya magonjwa yasiyoambukiza ambapo pia amezindua mwangozo wa mtindo wa maisha na magonjwa yasiyoambukiza,mwongozo wa selimundu na vifaa vya kupima aliwasisitiza wataalmu kutoa elimu sahihi ya lishe inayofaa.

“Kuna mtindo wa kula matunda mengi kwa wakati mmoja tunadhani ndio mtindo bora hii haitakiwi kama unakula chungwa kula chungwa baada ya nusu saa kula lingine,lakini unaweka parachichi, embe,chungwa,tikiti maji ,papai,ndizi.

Ameongeza “Wataaamu naomba hili jambo msisitize tuwahamasishe wanaoandaa matunda matunda saba yanaongeza sukari nyingi tunafikiri ni afya kumbe unaenda kutengeneza sukari nyingi na kuna juisi wataalamu wanashauri kula juisi badala ya tunda na kama umatengeneza tumia tunda moja halafu usiongeze sukari.

Ummy amesema sasa nchi inashuhudia ongezeko la magonjwa yasiyoambukiza hususan shinikizo la juu la damu,kisukari,saratani na zingin
 
Achana na wataalamu
Hao wanasema fegi zina madhara Afu wao wanavuta


WAZIRI wa Afya ,Ummy Mwalimu ameonya ongezeko la magonjwa yasiyoambukiza ifikapo 2030 huku akitahadharisha kuwa mtindo mbaya wa maisha ikiwemo ulaji usiofaa umekuwa sababu kubwa ya magonjwa hayo.

Ummy alisema ulaji wa matunda mchanganyiko ni sababu hatari kwa ugonjwa wa kisukari na kuwataka watu kuacha kuchanganya matunda wakati wa ulaji ambapo mtu anatakiwa kula tunda moja tu na baada ya nusu ya saa moja kula lingine.

Akizungumza leo jijini Dar es Salaam wakati wa Uzinduzi wa kampeni ya uelimisha ya magonjwa yasiyoambukiza ambapo pia amezindua mwangozo wa mtindo wa maisha na magonjwa yasiyoambukiza,mwongozo wa selimundu na vifaa vya kupima aliwasisitiza wataalmu kutoa elimu sahihi ya lishe inayofaa.

“Kuna mtindo wa kula matunda mengi kwa wakati mmoja tunadhani ndio mtindo bora hii haitakiwi kama unakula chungwa kula chungwa baada ya nusu saa kula lingine,lakini unaweka parachichi, embe,chungwa,tikiti maji ,papai,ndizi.

Ameongeza “Wataaamu naomba hili jambo msisitize tuwahamasishe wanaoandaa matunda matunda saba yanaongeza sukari nyingi tunafikiri ni afya kumbe unaenda kutengeneza sukari nyingi na kuna juisi wataalamu wanashauri kula juisi badala ya tunda na kama umatengeneza tumia tunda moja halafu usiongeze sukari.

Ummy amesema sasa nchi inashuhudia ongezeko la magonjwa yasiyoambukiza hususan shinikizo la juu la damu,kisukari,saratani na zingin
 
Siku hizi wanakatakata matunda mchanganyiko wanaweka katika vi contena alafu wanasambaza mitaani, maofisini, migahawani, ma garage, stend za magari nk.

NB: TAFUTA WADADA WAZURI WAREMBO WAWE WASAMBAZAJI 😄

wateja wanaume wengi ni dhahifu kwa wadada miaka 20 - 25!! Hawawezi leta ubahili.

Pia muonekano wa urembo/usafi mteja hushawishika chapu 😆
Wale watoto wa mjini ww! Matunda ni zuga tu kinachouzwa ni kingine😁
 
Siku hizi wanakatakata matunda mchanganyiko wanaweka katika vi contena alafu wanasambaza mitaani, maofisini, migahawani, ma garage, stend za magari nk.

NB: TAFUTA WADADA WAZURI WAREMBO WAWE WASAMBAZAJI 😄

wateja wanaume wengi ni dhahifu kwa wadada miaka 20 - 25!! Hawawezi leta ubahili.

Pia muonekano wa urembo/usafi mteja hushawishika chapu 😆
Asante kwa ushauri kiongozi
 
Back
Top Bottom