Salamu kwenu jamani , ,kuna kitu nimesikia kuwa maeneo ya ruvuma kuna mahindi yanauzwa kwa bei ndogo sana ,,,mwenye taarifa nzuri kuhusiana na bei ya mahindi huko ruvuma tujulishane basiii,,,,
mkuu sehemu gani..maana mi nimelima Ruvuna napajua sehemu zenye mahindi...kwa muda huu bado sana kuanza kuvuna..na kama ukilazimisha kununua saiv bas meng hayajakauka vizuri yatakusumbua