Biashara ya mahindi

fighter f

Member
Joined
Mar 24, 2017
Posts
10
Reaction score
3
Salamu kwenu jamani , ,kuna kitu nimesikia kuwa maeneo ya ruvuma kuna mahindi yanauzwa kwa bei ndogo sana ,,,mwenye taarifa nzuri kuhusiana na bei ya mahindi huko ruvuma tujulishane basiii,,,,
 
mkuu sehemu gani..maana mi nimelima Ruvuna napajua sehemu zenye mahindi...kwa muda huu bado sana kuanza kuvuna..na kama ukilazimisha kununua saiv bas meng hayajakauka vizuri yatakusumbua
 
Mwez wa sita tutafutane mkuu..nauza mzigo wangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…