Naitwa Nani
Member
- Dec 18, 2011
- 29
- 2
Wadau samahani naomba mnijuze kwa wenye ufahamu?
Katika Mkoa wa Rukwa kuna machimbo madogo ya dhahabu na nasikia biashara ya dhahabu inalipa huko?
Je mtaji inaweza ikawa kiasi gani na soko lake likoje????
Katika Mkoa wa Rukwa kuna machimbo madogo ya dhahabu na nasikia biashara ya dhahabu inalipa huko?
Je mtaji inaweza ikawa kiasi gani na soko lake likoje????