Biashara ya kuuza mifumo

Ni wazo jema , nakushauri ujipange vyema sana kwenye kulifikia soko unalotaka kuwapelekea bidhaa hizo mana ndio kwenye ugumu. Mitaani mifumo ipo mingi ,
1.Iliyopo inamapungufu gani
2.Utamshawishi vipi mtu atumie mifumo yako na sio iliyopo
3 cha 3 na kikubwa zaidi umejiandaaje kwenye nguvu ya marketing ili watumiaji waweze kushawishika


Jipange mimi nipo kwenye hili soko gumu kweli kweli tunapambana na wahindi wengine toka India huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…