xYz07
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,065
- 5,890
Wakuu nisi wachoshe saana, nataka kuanza kufanya biashara ya kuuza kuku, niwe na kijiwe changu, niwe naenda vijijini hasa kwenye minada nakusanya kuku then nawaleta mjini kuwauza rejareja kijiweni.
Naombeni ushauri kwa alie wahi kufanya hii biashara na kama nitapata picha ya banda zuri na bora kabisa la kuwaweka hao kuku nitashukuru wazee.
Naombeni ushauri kwa alie wahi kufanya hii biashara na kama nitapata picha ya banda zuri na bora kabisa la kuwaweka hao kuku nitashukuru wazee.