Nasiche
JF-Expert Member
- Jun 18, 2019
- 291
- 732
Wajasiriamali wafanya biashara na wachumi nishaurini kuhusu hii biashara
Nina idea ya kufanya biashara ya juice,bites,maziwa fresh,mtindi ,maji ,soda na matunda
Kodi ya frem nimeambiwa Ni 50k kwa mwezi nilipie miezi 6 ambayo Ni 300k
Friji ninalo
Brenda ninalo
Madeli ya kuwekea bites ninayo
Glass za juice ninazo
Mtaji wa kumnunulia matunda na maziwa soda na maji Nina 100k
Natafuta kijana ambaye nitamlipa 50k au 60k Mimi nitakuwa najoin kuanzia saa Tisa
Kwa harakaharaka hii biashara itanilipaa ,eneo ni nzuri movement ya watu Ni kubwa Mana ni Maeneo ya chuo.
Kama una ushauri wowote Nini niboreshe Nini nipunguze karibu
Nina idea ya kufanya biashara ya juice,bites,maziwa fresh,mtindi ,maji ,soda na matunda
Kodi ya frem nimeambiwa Ni 50k kwa mwezi nilipie miezi 6 ambayo Ni 300k
Friji ninalo
Brenda ninalo
Madeli ya kuwekea bites ninayo
Glass za juice ninazo
Mtaji wa kumnunulia matunda na maziwa soda na maji Nina 100k
Natafuta kijana ambaye nitamlipa 50k au 60k Mimi nitakuwa najoin kuanzia saa Tisa
Kwa harakaharaka hii biashara itanilipaa ,eneo ni nzuri movement ya watu Ni kubwa Mana ni Maeneo ya chuo.
Kama una ushauri wowote Nini niboreshe Nini nipunguze karibu