Mgongo wa paka
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 485
- 36
Najaribu kubrain storm business atleast ya kunikeep busy wakati huu mgumu nilionao baada ya kuhitilafiana na boss wangu. Nina km 2M mkononi nimeulizia frame zinaenda kwa laki 8 annually, nabaki na 1.2 in hand. Nina desktop 1 ya kurepare iliungua power supply, naweza tumia hata laptop yangu kusuppliment assets zinazohitajika. Ni vitu gani vingine vitahitajika wadau ili kufanikisha wazo hili? Je biashara hii itanilipa hata kihela tu cha kuhemea msosi in the meanwhile nasaka sehemu nyingine ya kufanya kazi? Mtaji wangu je, utatosha?
Nipo maeneo ya Kijiweni njia ya kwenda Malimbe SAUT, ushauri wenu utanifaa sana wakuu hata kama kuna wazo mbadala linakaribishwa. Asanteni.
mkuu umeumia hapo sipo penyewe lazima urudishewfrem tu