Hivi hao watu wanaojiuza wapo chadema tu?Misuse of resources, tena za walala hoi, wakina mama wanakufa kwa kukosa nk. Halafu jiwe anazitumia kununua binadamu wenzake, wewe unaona sawa tu, tuwe na huruma na fedha za wananchi, hivi hizo za kurudia kila mara tena bado chaguzi fake.
NARUDIA KUULIZA HILI SWALI TENA, HIVI MBOWE ANA NGUVU GANI HADI SERIKALI ISHINDWE KUMCHUULIA HATUA KWA KASHFA ZOTE MNAZOZIELEKEZA KWAKE IKIWEPO HII YA KULA RUZUKU AMBAYO NI PESA YA SERIKALI? UKINIJIBU SWALI HILI KWA UFASAHA NAHAMIA CCM MIMI NA KIZAZI CHANGU CHOTE LEO HIIMwambie Mbowe agawe ruzuku mpaka mikoani kwenye matawi... Sio kugawana na Lowasa kila siku kwa kisingizio cha kujilipa madeni hewa
Mwambie Mbowe agawe ruzuku mpaka mikoani kwenye matawi... Sio kugawana na Lowasa kila siku kwa kisingizio cha kujilipa madeni hewa
Hayo ni ya ccm, we wa chadema yanakuuma nn?Umeandika mengi lakini Demokrasia ya kuhama chama tangu lini ikawa na deadline?
Mara kwa mara nimekuwa nikisema humu kuwa Mungu kawanyima maarifa CCM ili waanguke na kwa hakika wataaguka tu.Ni swala la muda.
Hamahama hii ni ushahidi mwingine ni jinsi gani CCM walivyokosa mbinu ya ku-deal na upinzani na matokeo yake hamahama hii sasa imegeuka kashifa kwa serikali ya awamu ya tano na ambayo wapinza wataitumia vizuri huko mbeleni.
Tuhuma zilizopo sasa ni wanasiasa hawa kunuuliwa na chama tawala (rushwa) kwa ushawishi wa fedha, vyeo, n.k na ushahidi wa kimazingira unathibitisha madai haya kwani ni kweli tunaona baadhi wanazawadiwa vyeo, wengine wakidaiwa kulipiwa madeni yao, n.k.Hii teyari ni kashifa kubwa kwa serikali hii ambayo inajinadi kupambana na rushwa.
Na katika mazingira yanayothibitisha kuwa ni kweli kuna biashara haramu inaendelea, katibu mwenezi wao,bwana Polepole; ametangaza deadline ya kukamilika kwa biashara hii(December mwaka huu) kwa awamu ya kwanza ambapo itaendelea tena 2020.
Tangazo hili pia ni ushahidi mwingine wa kimazingira kuwa ni kweli kuna biashara inaendelea maana kama ni kuunga mkono juhudi za Raisi, kwanini kuwe na deadline ya kuunga mkono hizo juhudi? Hapa ndio ile dhana yangu ya hawa watu kukosa maarifa inapojithibitisha kwa mara nyingine kwani wanajiumbua wenyewe.
Mwisho wa siku ni kuwa, hata wale ambao mwanzoni walikuwa hawataki kuamini kuwa kuna rushwa inaendelea, sasa nao wataanza kuamini kwa kuunganisha dots na matokeo yake "hamahama" hii sasa inageuka kuwa ni tuhuma (kashifa) ya rushwa kwa serikali hii ya awamu ya tano.
Kwa kifupi, hii ni kashifa walioitengeneza kwa mikono yao wenyewe kutokana na wao kukosa maarifa na kwa hakika itawatafuna siku zote za maisha yao kama zile za EPA, Richmond, Escrow na nyinine nyingi zilizowahi kuikumba CCM.
Nimalize kwa kusema, hamahama hii kwa upinzani is "a blessing in disguise" and nothing else.
Muda utathibitisha ni nani mnufaika wa hii hamahama kati ya CCM na upinzani.
Note:Baadhi ya hawa mamluki (mercenaries) mnaotuhumiwa kuwanunu, ndio watakaokuja kutoa siri (kuwahujumu) huko mbeleni na kuwaweka katika wakati mgumu sana na miongoni mwao ni wale mtakaokuja kuwatema.
Tuombe uzima.
Mwambie Mbowe agawe ruzuku mpaka mikoani kwenye matawi... Sio kugawana na Lowasa kila siku kwa kisingizio cha kujilipa madeni hewa